Somo kuhusu WhatsApp

Somo kuhusu WhatsApp

*WAPENDWA WOTE*

Leo nitawaletea somo la namna ya kupangilia fonts za maandishi yako katika Whatsapp
Kina wakati unataka kuonyesha Kichwa cha habari ama msisitizo kwa ku-bold ama ku-highlight kipengele katika sentensi yako

Fuata njia hizi;
Ku-bold:
Weka alama ya nyota au arsterisks kama ionekanavyo kwenye mabano (*) kila mwanzo na mwisho wa neno/ maneno unayotaka kuyakuza
Kwa mfano;

*Tukiweka kando itikadi zetu*

Vile vile ukitaka kufanya herufi ziwe za mlalo au italic kwa kingereza inakubidi uweke alama ya underscore kama ionekanavyo ndani ya mabano(_) mwanzo na mwisho wa neno/ maneno uliyokusudia
Kwa mfano

_Hakika tutasonga mbele_

Na iwapo utataka ku-strikethrough (nimekosa neno mbadala sahihi la kiswahili)
Basi yakupasa kabla na baada ya neno/ maneno uliyokusudia uanze na kialama kiitwacho "tilde" chenye muinekano huu ndani ya mabano (~)

Kwa mfano

~Vinginevyo maendeleo na demokrasia kwetu itakuwa ndoto za mchana~

Nakutakia majaribio na uandishi mpya.....

***"******"""""****""""***

*MAY THE ALMIGHTY GOD GUIDE AND PROTECT ALL OF US, LOVE YOU ALL*.....

_Best regards_
Je ukitaka maandishi yawe bold na italic hapo hapo inakuwaje
 
We jamaa hiyo mifano yako utakuwa ni mtu mwingi sana. *tukiweka kando itikadi zetu*
 
Sijaelewa nifate mkumbo mkuu? Nieleweshe jomba
Mbulu pole, mm yalinikuta km ww tatizo ni uwezo wa simu hasa uwapo wharsapp. Fanya kitu kinaitwa root kwenye simu wapelekee wataalamu simu yako itaongezeka vingi no mada hii ipo humu2 JF
 
Mbulu pole, mm yalinikuta km ww tatizo ni uwezo wa simu hasa uwapo wharsapp. Fanya kitu kinaitwa root kwenye simu wapelekee wataalamu simu yako itaongezeka vingi no mada hii ipo humu2 JF
Nielekeze mkuu niweze ku root
 
*WAPENDWA WOTE*

Leo nitawaletea somo la namna ya kupangilia fonts za maandishi yako katika Whatsapp
Kina wakati unataka kuonyesha Kichwa cha habari ama msisitizo kwa ku-bold ama ku-highlight kipengele katika sentensi yako

Fuata njia hizi;
Ku-bold:
Weka alama ya nyota au arsterisks kama ionekanavyo kwenye mabano (*) kila mwanzo na mwisho wa neno/ maneno unayotaka kuyakuza
Kwa mfano;

*Tukiweka kando itikadi zetu*

Vile vile ukitaka kufanya herufi ziwe za mlalo au italic kwa kingereza inakubidi uweke alama ya underscore kama ionekanavyo ndani ya mabano(_) mwanzo na mwisho wa neno/ maneno uliyokusudia
Kwa mfano

_Hakika tutasonga mbele_

Na iwapo utataka ku-strikethrough (nimekosa neno mbadala sahihi la kiswahili)
Basi yakupasa kabla na baada ya neno/ maneno uliyokusudia uanze na kialama kiitwacho "tilde" chenye muinekano huu ndani ya mabano (~)

Kwa mfano

~Vinginevyo maendeleo na demokrasia kwetu itakuwa ndoto za mchana~

Nakutakia majaribio na uandishi mpya.....

***"******"""""****""""***

*MAY THE ALMIGHTY GOD GUIDE AND PROTECT ALL OF US, LOVE YOU ALL*.....

_Best regards_
THENKI YUUUUUUUUU
 
*WAPENDWA WOTE*

Leo nitawaletea somo la namna ya kupangilia fonts za maandishi yako katika Whatsapp
Kina wakati unataka kuonyesha Kichwa cha habari ama msisitizo kwa ku-bold ama ku-highlight kipengele katika sentensi yako

Fuata njia hizi;
Ku-bold:
Weka alama ya nyota au arsterisks kama ionekanavyo kwenye mabano (*) kila mwanzo na mwisho wa neno/ maneno unayotaka kuyakuza
Kwa mfano;

*Tukiweka kando itikadi zetu*

Vile vile ukitaka kufanya herufi ziwe za mlalo au italic kwa kingereza inakubidi uweke alama ya underscore kama ionekanavyo ndani ya mabano(_) mwanzo na mwisho wa neno/ maneno uliyokusudia
Kwa mfano

_Hakika tutasonga mbele_

Na iwapo utataka ku-strikethrough (nimekosa neno mbadala sahihi la kiswahili)
Basi yakupasa kabla na baada ya neno/ maneno uliyokusudia uanze na kialama kiitwacho "tilde" chenye muinekano huu ndani ya mabano (~)

Kwa mfano

~Vinginevyo maendeleo na demokrasia kwetu itakuwa ndoto za mchana~

Nakutakia majaribio na uandishi mpya.....

***"******"""""****""""***

*MAY THE ALMIGHTY GOD GUIDE AND PROTECT ALL OF US, LOVE YOU ALL*.....

_Best regards_
Ukitaka uyabadili rangi je?
 
Back
Top Bottom