Umepewa lift sasa unataka upige na honi! [emoji1]Kupaka rangi je?
Umepewa lift sasa unataka upige na honi! [emoji1]
kumbe ukinywa chai bila sukari unaelewa mapemaNakushukuru sana wewe mleta Uzi huu
Mfumo huo haufanyi kazi ktk GBWhatsApp!Je huu mfumo nitaweza kutumia kwenye Gbwhatsapp?
Sawa mkuuMfumo huo haufanyi kazi ktk GBWhatsApp!
Ila ukiandika hivyo ktk gbwhatsapp, mpokeaji anayetumia whatsapp ya kawaida atapata ujumbe weny muonekano lengwa.
Mkuu bado hujaelewa tu...fuata maelekezo vizuri hakika utafahamu tu....Hata sijaelewa
Nenda whatsapp kisha fanya hayo uliyo yasoma utaelewa tu.Hata sijaelewa
Una kichwa kigumuHata sijaelewa
Zile alama alizokwambia mwanzo na mwisho wa kila neno .....mfano. _mambo vip_ au * habari vip* au ~braza mambo vip~ Umeona nilichokifanya mwanzoni na mwisho wa maneno yangu nimetanguliza hizo alamu na kumalizia hizo alama....Naiweka kiporo