Somo kuhusu nyoka

Mwanamke unakamata nyoka😳 wanawake wa siku hizi hamtaki jiheshimu hata mimi nisingerudi
 
😅 ila pamoja na yote wee dada ni gaidi... Kifutu unamkamata kama kuku..? Wakat mimi kiukweli nyoka nipo tayar kumuachia nyumba akiingia 😂
Me nyoka namlipia kodi namuacha aishi kwa amani nasepa
 
Somo zuri ndg
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…