Somo kuhusu nyoka

Iringa eneo Gani?
 
Nimecheka kinoma sana. Akasema huyu mwanamke jasiri sana sio wa kusogelea kabisa
 
mpaka mwili umesisimka, mimi hata kumgusa nyoka siwezi hata kama nimeshamuua

 
Ukiona manzi anasema akajifikirie jua Hana interest nawe
Ina depend nishawahi ambiwa Hivyo mara nyingi na mkeka haukuchanika

Katika maandishi uliyoandika wewe hukumwambia hivyo ndio maana Kibosile na kitambi chake alikufuata kupata jibu joka naye akamfukuza baharia
 
Nahisi alidhani nitamkabia ndani
Akaona isiwe tabu, hii ngoma sio ya watoto.

Ila kusema kweli mimi binafsi naogopa nyoka ni balaa. Kuna mwaka aliingia geto kwangu tena wala hakuwa mkubwa sana, Aisee nilikuwa na hofu kubwa sana na nilimuua katika namna ambayo nilikuwa namuonea huruma sana maana hata mimi sipendi nife kifo cha namna ile but very unfortunate sikuwa na jinsi kwa usiku ule, hofu ilikuwa kuu mno. Mwenyezi MUNGU naomba unisamehe. Hakika hofu inaleta ukatili
 
Unazingua ujue.

Ungeanz na swali. Wewe kumbe unataka kujua lakini umeanza kama mtaalam wa nyama za nyoka
 
Kama nyoka TU hakurudi ulitegemea Kaka Mkubwa angerudi.😎
 
Kwa usteringi huo lazima akuogope, alihofia badala ya kukutafuna wewe, huenda ungemtafuna yeye 😂🤣
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…