Nimekuwa kwa mahusiano na huyu ndg kwa muda kidogo but he is too a budden to me. Mwanzo kabisa alisema ana biashara zake kadhaa, ( nimeona mbili ) na mimi nimeajiriwa ofc fulani.
Tatizo kila siku yeye ndo mwenye shida, yaani haipiti siku mbili hajaomba hela, mara beby niazime kiasi fulani nashida hii, mara ninataka kufanya hiv imekuwa sasa too much. Sikatai kumsaidia mwenzako anapokwama (which i did kila nilipoweza) lkn sasa naona kabisa nadidimia. Na ikitokea hujampa au umwambie sina ananuna siku kadhaa hakusemeshi... hii ni sawa kweli? Mind u sijawai hata muomba hela ktk kipindi chote cha mahusiano. Na si kwamba sina matatizo, ninayo sana ila najaribu kuyatatua mwenyewe nikiamini kwamba nisiwe mzigo kwake lkn yeye amenikata maini kwakweli