Sometimes love...

Sometimes love...

👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👍🏽Pole kwa kuvurugwa. Yes L❤️VE is a very BEAUTIFUL and very PRECIOUS.

Mapenzi ni mazuri sana ila sisi wanadamu ndo tunafanya yaonekane mabaya, hovyo, hadi tunafikia kuyachukia na kuchukiana.

Na hii yote inatokea pale mmoja anapokuwa kwny mahusiano kimaslahi zaidi (mbinafsi) anajifikiria yeye tu wakati wote....

If we real love each other and stop selfishness, for sure love is a beautful thing....

Nimevurugwaa!
 
Mapenzi ni mazuri sana ila sisi wanadamu ndo tunafanya yaonekane mabaya, hovyo, hadi tunafikia kuyachukia na kuchukiana.

Na hii yote inatokea pale mmoja anapokuwa kwny mahusiano kimaslahi zaidi (mbinafsi) anajifikiria yeye tu wakati wote....

If we real love each other and stop selfishness, for sure love is a beautful thing....

Nimevurugwaa!
Pole sana
 
Pole Kadogoo,broken relationship means a lesson learnt,ndivyo tunavyokomaa na kujua nini we want in life,,,so it’s a way to maturity,
 
Ubinafsi n mbaya sana kwenye mapenz, unakuta mtu anajiwazia yeye tu akifurahi yeye inatosha, inafika mahali hadi maana ya mapenz inapotea kabisa mtu anajisahau ajali uwepo wako kwenye uhusiano, anasahau kuwa mahusiano n ya wawili matokeo yake n maumiv.
Huezi kua recycle bin na utegemee furaha...ni kila uchafu utatupiwa wewe😉
 
Very very living truth, someone is in this deep shit with me.

About to let her go,ain't gonna risk my future living with a worm.
Mapenzi ni mazuri sana ila sisi wanadamu ndo tunafanya yaonekane mabaya, hovyo, hadi tunafikia kuyachukia na kuchukiana.

Na hii yote inatokea pale mmoja anapokuwa kwny mahusiano kimaslahi zaidi (mbinafsi) anajifikiria yeye tu wakati wote....

If we real love each other and stop selfishness, for sure love is a beautful thing....

Nimevurugwaa!
 
Mapenzi ni mazuri sana ila sisi wanadamu ndo tunafanya yaonekane mabaya, hovyo, hadi tunafikia kuyachukia na kuchukiana.

Na hii yote inatokea pale mmoja anapokuwa kwny mahusiano kimaslahi zaidi (mbinafsi) anajifikiria yeye tu wakati wote....

If we real love each other and stop selfishness, for sure love is a beautful thing....

Nimevurugwaa!
Mkuu jifunze kumpenda anayekupenda,
tatizo lenu (wanaume/wanawake) mnapopendwa ninyi hamuwapendi, bali mnawapenda ambao hawawapendi....jifunze kumpenda anayekupenda kwa dhati! Hilo ndiyo suluhisho la mapenzi kwa sasa.

Anyway, pole kwa yote..!
 
Back
Top Bottom