KadogooCate
JF-Expert Member
- Dec 16, 2017
- 484
- 1,100
Mapenzi ni mazuri sana ila sisi wanadamu ndo tunafanya yaonekane mabaya, hovyo, hadi tunafikia kuyachukia na kuchukiana.
Na hii yote inatokea pale mmoja anapokuwa kwny mahusiano kimaslahi zaidi (mbinafsi) anajifikiria yeye tu wakati wote....
If we real love each other and stop selfishness, for sure love is a beautful thing....
Nimevurugwaa!
Na hii yote inatokea pale mmoja anapokuwa kwny mahusiano kimaslahi zaidi (mbinafsi) anajifikiria yeye tu wakati wote....
If we real love each other and stop selfishness, for sure love is a beautful thing....
Nimevurugwaa!