Something From Nothing

Something From Nothing

Hi!,wanajamvi. Swali hilo juu huwa ni moja ya maswali magumu ambayo wengi huwa wanabaki njia panda,hasa linapokuja swala la kufafanua,,IWEJE TUPATE KITU PASIPO KITU?(sina uhakika kama ni tafsiri sahihi),yaan how can we get something from nothing?,

Watu wengi hasa wenzetu WANAOAMINI katika dini na MUNGU/MIUNGU huwa hawatuelewi kabisa kuhusu hili.
Nitajaribu leo kufafanua kwa kina(kadri nijuavyo mimi) kwa faida ya wengi,kuhusu,KUAPATA KITU PASIPO KITU.(sina uhakika kama ni tafsiri sahihi). Karibuni....

Katika nyanja ya Evolution,ina maanisha ni jinsi gani unaweza kupata Immense complexity and diversity and beuty and elegance of life,na zaidi ya hapo,inaonesha ni jinsi gani unaweza kupata Powerful Illusion of design ambayo uhai unaonesha,ambayo ninaweza sema sio kutoka katika HAKUNA(nothing),(not quiet from nothing)ila kutoka katika Extreme Simplicity.

Kabla ya Darwin kufanya utafiti uliopelekea kila kitu kuwa wazi,ilikuwa ni vigumu sana kuamini/kueleza jinsi gani unapata/kuna Vitu kama Ubongo,macho,miguu,mabawa ya ndege,n.k.Ilikuwa n ngumu sana kujua vipi unaweza kupata vitu vilivyo vizur machoni na vyenye mpangilio maalumu vinavoonekana kama vimepangwa(designed).

Darwin alitoa confidence na kuonesha kuwa kinachoonekana ni ugumu wa ufahamu wa kupata kitu pasipo kitu,alisove na waliofuata pia walikuw wakiendeleza kazi yake tangu kipindi kile.

@@@@But what is NOTHING,and how can we have something from Nothing...

Ni kwel kabisa,kwamba The Universal came from nothing due to what we know about the Universal up to this time,here is the proof of my above Arguments.

""Nothing is UNSTABLE,that empty space is UNSTABLE,Laws of mechanics combined with GRAVITY will tell you that,if you have Empty space there and you wait for the long enough,particles will be CREATED,and if you wait more enough,empty space will allways produce a UNIVERSAL full og MATTERS,
So NOTHING is unstable (sijui kama naeleweka hapa).

The case here is NOTHING (Empty space),creating something (Universal /Earth).
But ist the empty space nnothing(wengi mtasema no ),Lakini ngoja nikuoneshe pia kwamba EMPTY SPACE nayo inaweza ikawa product ya nothing,na hapo nadhan hakuta kuwa na swali tena.

Hapa nakuja katika laws za kifizikia,ama NATURAL FUNDAMENTAL LAWZ,
Ambzo zinaelezea kiundani jinsi ambavo kanuni na misingi ya kuwepo hewa tupu,space na mazingira ya utokeaji wa kila kitu kinachohitajika kufanyika kwa kitu husika(sina haja ya kuchima sna ntapoteza maana ya uzi,waweza uliza katika mjadala na nitajibu.),@@@@


Nothing niimanishayo katika upande wa Evolution sio,Completely nothing,lakini ni kutoka katika resonable complicated beginning ambayo ilikuwa ni first self replication molecule(maana completely nothing imesha tengenza UNIVERSAL na sasa ni evolution .).

Lakini tukumbuke kwamba Natural selection haiwezi kwenda kama hakuna genetics.,na hilo ndo tatizo ambalo halijasoviwa.Namaanisha hadi sasa hakuna anayejua Genetics zilivoanza.Lakini tunajua kwamba Kanuni za chemistry lazima zianzishe self replicating molecules,Kisha EVOLUTION inatake place.

Na kuanzia hapo sasa,aina zote za diversity na viumbe kama mimi na wewe ndo tukawa into existence,lakini haya yote lazima yaanze na GENETICS,hapo mapungufu ya chemistry yanaonekana,lakini kabla hatujailaumu chemistry kwa kukosa ufumbuzi wa genetics inabidi tuanze na physics !

Uhai katika dunia ulianza miaka 3.5bilion ilopita,katika kipindi cha Cambrian explosion.
Katika mika 4.5bilioni ilopita, ambayo ni kadirio la umri wa dunia, hakukua na bacteria.So katika miaka 3.5bilion ilopita uhai ukaanza taratibu katika dunia kutokana na Nitrogen ,Helium Hydrogen pamoja na hewa nyingine ndogo ambazo zilitokea katika spaces/sky baada ya Explosion.

Baadhi ya watu husema,We don't understand the origin of life on Earth ,so GO,D must done it!(kamba hatuelewi mwanzo wa uhai katika Dunia,kwa hiyo lazima mungu ndo alihusika).SI KWEL,.....


Ninachojua mimi,mapungufu yaliyopo katika Sayansi hayamuumbi Mungu,wala hayasababishi Awepo .,Sayansi inakuwa kila kukicha.Kama ni hivo basi atakuwa ni MUNGU wa mapungufu,(GOD OF GAPS),ambaye anaonekana tu katika few remaining Gaps in our understandings.Nikukumbushe pia kabla ya Darwin na wengine,uhai na uwepo wetu,Miili na jinsi ifanyavyo kaz ,ilikuwa inaonekana kama miracles.Hakuna aliyeweza kusema nini ni nn na kila kitu ilikuw akaz ya mungu.
Amini nakuambia hata mwaka 300AD,watu walikuwa wakiamini vitu kama Tsunami,Floods,Volcanic eruptions,Earthquake n.k ilikuwa kaz ya MUNGU,kama adhabu.Lakini leo vinaelezeka na kutabiriwa na mamlaka za hali ya Hewa na onyo linatolewa . Nachotaka kusema hapa ni kamba sayansi ,,inakuwa,, na itafumbua kila kitu.
,Kwangu mimi huwa naona kama n dalili za udhaifu ninaposikia kauli mfano,,""I DONT UNDERSTAND IT,THEREFORE GOD DID IT"" this is the kind of lazy argument.It doesn't help anything,but it leaves opens, since it doesn't explain even where God came from.

Kitu kikubwa alichofanya Darwin ni kuonesha ama kujuza ni jinsi gani unaweza kupata God like things/complex things (like humani Brain) kutoka katika omni nothing.

Ngoja niongelee kidogo CONCEPT YA EVOLUTION,maana najua ntaulizwa mbona manyani hayabadiliki siku hiz..

Watu wengi wanadhani kwamba EVOLUTION,inaonglea/inahusu manyani/masokwe kumzaa ama kugeuka binadam,!,ni hiv,Miaka kama milioni 25,ilopita Human being(watu) walikuwa""Common Ancestor "",NA MONKEYS ,CHIMPANZEE ,GORILLAZ n.k.Hili ndo jambo gumu watu kuelewa,Kwa kiswahili ni kwamba ,HATUKUWA MANYANI WALA MASOKWE BALI TULISHARE BAADHI YA TABIA ,VITU,UMBO,MWONEKANO n.k.,huwa napata shida sana kuelezea jambo hili.So 25,yearz ago our ancestors might have look like monkey,gorillaz,or chimpanzees.Narudia,tena neno MIGHT HAVE LOOK LIKE,NOT THEY WERE MONKEYS !,hata hivo uchunguz unaonesha tuko na ufanano wa karibu zaidi na CHIMPANZEE kuliko chimpanzee walivo na ufanano na gorillaz ama monkeys.

Je,evolution inaendelea?,hili swali ningelipata bila shaka,jibu ni NDIO,...

Inaendelea lakini its too slow for us to see,kumbuka tunaishi kwa miongo michache na pia evolution its too slow to be noted easy .We can see it in Bacteria only too visibly ,because thats y,ant-biological resistance is such a big problem and more immensely important medical problem.Take this ,if the doctors at the time of invention of penicillin which Darwin wishes about them,they would been able to predict that resistance to ant-biotic.refers the book known as,, THE SCIENCE OF DARWINIAN,, MEDICINE .another vivid example of the continuation of Evolution is just look ok history,try to observe the physical appearance of the people live in 14c,15c or even 7century,you may not a lot of differences comparing to us.

Presence of INTELLIGENT DESIGNER ?,

This logic is too low and poor!,
I an prove that there is NO Intelligent designer
1,There is no EVIDENCES ON THAT ARGUMENT
2.BY HIS RESPONSIBILITY.

This person God of tje JUDAISM ,CHRISTIANS,ISLAMS has nothing to do with the God who cares about us.Na katika uwanja wa Sayansi ,tukisema kama mapungufu yaliyopo yahusiane na mungu,hatuta muhusisha mungu nafsi!,,The same God created lawz of physics ?. Na kama katika Sayansi kukihitajika kuwa na Mungu,basi atakuwa DIASTIC GOD,And he is very very different from the Gods of religion ,na huyu ndiye aina ya kitu tunatumia muda kumuelezea.

Intelligence inakuja baada ya muda mwingi baada ya EVOLUTION,starting from nothing as we know and then chemistry takes over,Biology,.

Kwa hiyo katika dunia kunaweza kuwa na Gods like humani being.Nakubali kwamba kunaweza kuwa na life forms than us,ambao tukikutana tutabidi tuwapigie magoti LAKINI WATABAKI KUWA ZAO LA MUENDELEZO(the product of the process ),of evolution devlpmt.they will not be GOD,S In the sense that having created the laws of physics,or tje universal or life!.

Let me end up here,karibun...
Umezungumzia energy,na matter kwamba matter cannot be created or destroyed only change form.kama nimekupatavizuri sijaona mahali ukizungumzia information. Wengine tunadhani information ndio Neno na ndio Mwanzo.
 
Umezungumzia energy,na matter kwamba matter cannot be created or destroyed only change form.kama nimekupatavizuri sijaona mahali ukizungumzia information. Wengine tunadhani information ndio Neno na ndio Mwanzo.

Uwe macho na nadharia za kisayansi na vikomo vya dhana zake. Si kila kitu kwenye sayansi kimepatiwa kujulikana vema ama kikamilifu.

Dhana ya 'Nishati' katika sayansi ya leo ni kati ya vitu vyenye kufahamika 'nusu' ; japo hata nusu hii inaonekana kufaa kwa mapana ya tekinolojia nyingi za kileo.

Nusu nyingine kuhusu ya kinachofanya 'nishati' itatuwezesha hata kufanya makubwa ama ya ajabu zaidi; hata utaalam wa leo kuweza kuotea.

Basi, kama vile tujiulizavyo kuhusu mungu na ulimwengu, vile vile kujiuliza kutokea kwenye finomena na athari kunatuwezesha kufanyikia maarifa bora zaidi kutufaa hata maisha, uwezo na mawezekano yetu. Badala ya mungu wa kudhaniwa hivi ama vile, sisi wenyewe tunaweza kuwa Mungu katika matendo--nia na kusudi jema ndani ya kadiri ya mapenzi mema yenye kusitiri sura na namna za uhai na maumbo anuai.

Haitufaidii chochote kufikiria mungu fulani aliye huku ama kule, mwenye uweza, na hali labda uweza huo tayari upo nasi na ndiyo maana maisha yanawezekana na kuchakata... Tunadhania nguvu iko nje na kumbe labda hiii iko kote na mote(?)

Hebu tuangalie kwa mfano, umeme... Hivi kweli -- hata kabla ya kuuliza ya fumbo la mungu, je, tunadhani kila kitu kinafahamika vema juu yake? Laiti tungalikujua maarifa na utalaam wetu bado una misingi wa mafumbo matupu -- mawezekano zaidi bado yamefichika katika wigo za maendeleo yetu kisayansi; basi ingalikuwa kheri kuanza na sayansi wakati tukijitihada kutafuta muafaka nafsi na mustakabali katika maisha na ustaarabu wetu.

Tazama video ifuatayo kwa mfano:



Na hii:



++++++++++
The cube,

A square is synonymous to the breath of the Divine.. Contraction and Expansion; 2 is the number--breathing in, breathing out, the crest and trough... Seven is the number for expression of/denoting completion and thus octaves of 'halving' or 'doubling' the 'wavelength' of any particular frequency of choice...

Electricity must mean both positive and negative kinds of effect... What is known to us for the most, is half of the story; but user experience in dielectric potentials reveals / shall reveal the truth... What electricity really is; and the charge or wave in space-- the truth of matter and space.

And i have got my eye upon the possibility of the perpetual mechanics employing the vector equilibrium of magnets in hexagonal configuration--the hidden cube cum tetrahedron 'nodes' of 'power' of the breath in a potential sphere... The vortices of aetheric 'liquid light' which charges all of us to rethink all about space and counter-space, position and displacement, rest or movement.

It is just effect-wise -- we see or detect one and not the other in space in which the two innate dispositions of force and power abound simultaneously to maintain the illusion of form and space...

How to disturb the pivot of that which is and that which is not, of space and form?

Hmmm
+++++++

Je, unaweza kufikiria, ni kwa jinsi gani video hizi mbili zinaweza kuleta shauri la visifa vya 'habari' nyuma ya maumbo na mitungiko ya maada kwa mfano? Kuzingatia mitizamo niliyogusia hapo juu, kuhusu 'tofa mraba' na 'mraba' (!?)
 
Swali la how to get something from nuthin' at all limejibiwa hapa na maswali mengine matano makubwa yanayoelezea mustakabali wa maisha ya Mankind upo hapo ukipitia toa maoni yako zaidi

Si kwamba hapa ama humo kwenye video kuna 'majibu' hasa, lakini ni mawazo na mawaidha mazuri.

Labda kuna moja la kukumbuka, sayansi 'inajiweza' pale ambapo kuna sababu na sababishi kwa jambo, lakini fumbo la uzima wote kiini chake ni usi-sababu...

Ninapenda kadiri ya mawazo na mitazamo basi na sisi tujiongeze kusudi kiu yetu ya kujua iweze kutuletea japo 'maendeleo'; kwa vipi? Ikiwa tunapenda sayansi basi tuwe na bidii na upeo wa kunyambua mambo kisayansi, lakini hapo hapo tukumbuke dhima yetu ina maana hasa ikiwa tunadhamiria hata kujijenga na kujiinua kitaasisi vile vile.

Sisi tunayonafasi ya utafiti na uchunguzi katika uwanja wa sayansi kama kungineko kokote duniani. Tunaweza kuibua vikundi vya utafiti hata wa kitekinolojia kupitia vyombo vyetu vidogo vya sayansi na maendeleo kama Costech(COSTECH), ama kufanya jitihada kwa maabara binafsi. Kwa hiyo tukiwa tunalifikiria hili basi inakuwa haiepukiki kuwa na bidii ya kujitahidi kutumia akili na vipawa vyetu hata kwa uwezo mkubwa na mpana kuwezekana.

Nidhamu ya kudhamiria kufanya kweli daima itatusukuma hata upenuni mwa habari na uvumbuzi juu ya mafumbo mbalimbali ya kisayansi.

Tunafanya vizuri humu, ila tunaweza kufanya bora zaidi.

cyrustheruler huyo mzungumzaji hapo juu bidii yake inasogea mahala fulani pazuri lakini kwa sisi watu ama mtu kama mimi ambaye maarifa ya dini na ya sayansi si tatizo, ninaweza kusema ukikomaa na mafundisho ya mfano wa mtu mwenyemaono, Walter Russell, basi unakuwa kwenye nafasi nzuri zaidi hata ya kujikita kwenye fikizikia ya vitendo inayoweza kuelekea kwenye kuzaa matunda ya 'Kitu kutoka kusikokitu'...

Halafu kama wewe na wengine humu mngekuwa mmetanua sana uwanja basi ningesisitiza kusoma Akisiomu za Kapilla(Sankhyakarika), moja ya sayansi za zaidi ya miaka 33,000 iliyopita lakini ni hazina ya sayansi ambayo tunaweza kunasibu na ule ujuaji wa hali ya juu kama si kipekee mno; na kushangaza sana juu ya ulimwengu, maumbo na kosmosi...

Viungo viwili kwa mafundisho ya Walter Russell na Maharishi Kapilla ni:
- OFFICIAL WEBSITE
SANKHYAKARIKA

Sasa, kuweka kumbukumbu sawa, hebu tuzingatie shauri la sababu isiyo sababishiki--kitu chenye kuleta utata wa namna kabila moja na kusema mungu ndiyo chanzo na yeye hakuumbwa na yeyote... Sayansi haiwezi kutengea kitendawili hichi ila tu yenyewe ianzapo kumudu kuleta mazao kutoka kusiko kitu--mfano, kutunga maada kutokea kwenye utupu, ama kufua nguvu za nishati kutokea kwenye utupu, vile kwa mfano siku hizi tunaita 'Nishati Nukta Sufuri'(Zero Point Energy, Kng)...

Tazama video hii, Msikirifu OSHO atahitimisha video hii kwa kuzungumza bayanisho la sayansi na 'kutafuta kiroho':



Wakati mwingine hata kwenye tafsiri na mawaidha ya mapokeo toka kwenye masahafu, vitu hivi hudokezwa--Kur'an, Baghavadi Gita, Veda, Avesta nk lakini kitabu ni kitabu--si ufunuo. Kwa hiyo kiu yetu isiwe tu kwa mawazo na fikra bali ufunuo ama ishara zaidi ya kutaamulika kadiri basi kuakisika na kazi za mikono yetu.

Hmmm
 
Si kwamba hapa ama humo kwenye video kuna 'majibu' hasa, lakini ni mawazo na mawaidha mazuri.

Labda kuna moja la kukumbuka, sayansi 'inajiweza' pale ambapo kuna sababu na sababishi kwa jambo, lakini fumbo la uzima wote kiini chake ni usi-sababu...

Ninapenda kadiri ya mawazo na mitazamo basi na sisi tujiongeze kusudi kiu yetu ya kujua iweze kutuletea japo 'maendeleo'; kwa vipi? Ikiwa tunapenda sayansi basi tuwe na bidii na upeo wa kunyambua mambo kisayansi, lakini hapo hapo tukumbuke dhima yetu ina maana hasa ikiwa tunadhamiria hata kujijenga na kujiinua kitaasisi vile vile.

Sisi tunayonafasi ya utafiti na uchunguzi katika uwanja wa sayansi kama kungineko kokote duniani. Tunaweza kuibua vikundi vya utafiti hata wa kitekinolojia kupitia vyombo vyetu vidogo vya sayansi na maendeleo kama Costech(COSTECH), ama kufanya jitihada kwa maabara binafsi. Kwa hiyo tukiwa tunalifikiria hili basi inakuwa haiepukiki kuwa na bidii ya kujitahidi kutumia akili na vipawa vyetu hata kwa uwezo mkubwa na mpana kuwezekana.

Nidhamu ya kudhamiria kufanya kweli daima itatusukuma hata upenuni mwa habari na uvumbuzi juu ya mafumbo mbalimbali ya kisayansi.

Tunafanya vizuri humu, ila tunaweza kufanya bora zaidi.

cyrustheruler huyo mzungumzaji hapo juu bidii yake inasogea mahala fulani pazuri lakini kwa sisi watu ama mtu kama mimi ambaye maarifa ya dini na ya sayansi si tatizo, ninaweza kusema ukikomaa na mafundisho ya mfano wa mtu mwenyemaono, Walter Russell, basi unakuwa kwenye nafasi nzuri zaidi hata ya kujikita kwenye fikizikia ya vitendo inayoweza kuelekea kwenye kuzaa matunda ya 'Kitu kutoka kusikokitu'...

Halafu kama wewe na wengine humu mngekuwa mmetanua sana uwanja basi ningesisitiza kusoma Akisiomu za Kapilla(Sankhyakarika), moja ya sayansi za zaidi ya miaka 33,000 iliyopita lakini ni hazina ya sayansi ambayo tunaweza kunasibu na ule ujuaji wa hali ya juu kama si kipekee mno; na kushangaza sana juu ya ulimwengu, maumbo na kosmosi...

Viungo viwili kwa mafundisho ya Walter Russell na Maharishi Kapilla ni:
- OFFICIAL WEBSITE
SANKHYAKARIKA

Sasa, kuweka kumbukumbu sawa, hebu tuzingatie shauri la sababu isiyo sababishiki--kitu chenye kuleta utata wa namna kabila moja na kusema mungu ndiyo chanzo na yeye hakuumbwa na yeyote... Sayansi haiwezi kutengea kitendawili hichi ila tu yenyewe ianzapo kumudu kuleta mazao kutoka kusiko kitu--mfano, kutunga maada kutokea kwenye utupu, ama kufua nguvu za nishati kutokea kwenye utupu, vile kwa mfano siku hizi tunaita 'Nishati Nukta Sufuri'(Zero Point Energy, Kng)...

Tazama video hii, Msikirifu OSHO atahitimisha video hii kwa kuzungumza bayanisho la sayansi na 'kutafuta kiroho':



Wakati mwingine hata kwenye tafsiri na mawaidha ya mapokeo toka kwenye masahafu, vitu hivi hudokezwa--Kur'an, Baghavadi Gita, Veda, Avesta nk lakini kitabu ni kitabu--si ufunuo. Kwa hiyo kiu yetu isiwe tu kwa mawazo na fikra bali ufunuo ama ishara zaidi ya kutaamulika kadiri basi kuakisika na kazi za mikono yetu.

Hmmm

Karibu
 
Hi!,wanajamvi. Swali hilo juu huwa ni moja ya maswali magumu ambayo wengi huwa wanabaki njia panda,hasa linapokuja swala la kufafanua,,IWEJE TUPATE KITU PASIPO KITU?(sina uhakika kama ni tafsiri sahihi),yaan how can we get something from nothing?,

Watu wengi hasa wenzetu WANAOAMINI katika dini na MUNGU/MIUNGU huwa hawatuelewi kabisa kuhusu hili.
Nitajaribu leo kufafanua kwa kina(kadri nijuavyo mimi) kwa faida ya wengi,kuhusu,KUAPATA KITU PASIPO KITU.(sina uhakika kama ni tafsiri sahihi). Karibuni....

Katika nyanja ya Evolution,ina maanisha ni jinsi gani unaweza kupata Immense complexity and diversity and beuty and elegance of life,na zaidi ya hapo,inaonesha ni jinsi gani unaweza kupata Powerful Illusion of design ambayo uhai unaonesha,ambayo ninaweza sema sio kutoka katika HAKUNA(nothing),(not quiet from nothing)ila kutoka katika Extreme Simplicity.

Kabla ya Darwin kufanya utafiti uliopelekea kila kitu kuwa wazi,ilikuwa ni vigumu sana kuamini/kueleza jinsi gani unapata/kuna Vitu kama Ubongo,macho,miguu,mabawa ya ndege,n.k.Ilikuwa n ngumu sana kujua vipi unaweza kupata vitu vilivyo vizur machoni na vyenye mpangilio maalumu vinavoonekana kama vimepangwa(designed).

Darwin alitoa confidence na kuonesha kuwa kinachoonekana ni ugumu wa ufahamu wa kupata kitu pasipo kitu,alisove na waliofuata pia walikuw wakiendeleza kazi yake tangu kipindi kile.

@@@@But what is NOTHING,and how can we have something from Nothing...

Ni kwel kabisa,kwamba The Universal came from nothing due to what we know about the Universal up to this time,here is the proof of my above Arguments.

""Nothing is UNSTABLE,that empty space is UNSTABLE,Laws of mechanics combined with GRAVITY will tell you that,if you have Empty space there and you wait for the long enough,particles will be CREATED,and if you wait more enough,empty space will allways produce a UNIVERSAL full og MATTERS,
So NOTHING is unstable (sijui kama naeleweka hapa).

The case here is NOTHING (Empty space),creating something (Universal /Earth).
But ist the empty space nnothing(wengi mtasema no ),Lakini ngoja nikuoneshe pia kwamba EMPTY SPACE nayo inaweza ikawa product ya nothing,na hapo nadhan hakuta kuwa na swali tena.

Hapa nakuja katika laws za kifizikia,ama NATURAL FUNDAMENTAL LAWZ,
Ambzo zinaelezea kiundani jinsi ambavo kanuni na misingi ya kuwepo hewa tupu,space na mazingira ya utokeaji wa kila kitu kinachohitajika kufanyika kwa kitu husika(sina haja ya kuchima sna ntapoteza maana ya uzi,waweza uliza katika mjadala na nitajibu.),@@@@


Nothing niimanishayo katika upande wa Evolution sio,Completely nothing,lakini ni kutoka katika resonable complicated beginning ambayo ilikuwa ni first self replication molecule(maana completely nothing imesha tengenza UNIVERSAL na sasa ni evolution .).

Lakini tukumbuke kwamba Natural selection haiwezi kwenda kama hakuna genetics.,na hilo ndo tatizo ambalo halijasoviwa.Namaanisha hadi sasa hakuna anayejua Genetics zilivoanza.Lakini tunajua kwamba Kanuni za chemistry lazima zianzishe self replicating molecules,Kisha EVOLUTION inatake place.

Na kuanzia hapo sasa,aina zote za diversity na viumbe kama mimi na wewe ndo tukawa into existence,lakini haya yote lazima yaanze na GENETICS,hapo mapungufu ya chemistry yanaonekana,lakini kabla hatujailaumu chemistry kwa kukosa ufumbuzi wa genetics inabidi tuanze na physics !

Uhai katika dunia ulianza miaka 3.5bilion ilopita,katika kipindi cha Cambrian explosion.
Katika mika 4.5bilioni ilopita, ambayo ni kadirio la umri wa dunia, hakukua na bacteria.So katika miaka 3.5bilion ilopita uhai ukaanza taratibu katika dunia kutokana na Nitrogen ,Helium Hydrogen pamoja na hewa nyingine ndogo ambazo zilitokea katika spaces/sky baada ya Explosion.

Baadhi ya watu husema,We don't understand the origin of life on Earth ,so GO,D must done it!(kamba hatuelewi mwanzo wa uhai katika Dunia,kwa hiyo lazima mungu ndo alihusika).SI KWEL,.....


Ninachojua mimi,mapungufu yaliyopo katika Sayansi hayamuumbi Mungu,wala hayasababishi Awepo .,Sayansi inakuwa kila kukicha.Kama ni hivo basi atakuwa ni MUNGU wa mapungufu,(GOD OF GAPS),ambaye anaonekana tu katika few remaining Gaps in our understandings.Nikukumbushe pia kabla ya Darwin na wengine,uhai na uwepo wetu,Miili na jinsi ifanyavyo kaz ,ilikuwa inaonekana kama miracles.Hakuna aliyeweza kusema nini ni nn na kila kitu ilikuw akaz ya mungu.
Amini nakuambia hata mwaka 300AD,watu walikuwa wakiamini vitu kama Tsunami,Floods,Volcanic eruptions,Earthquake n.k ilikuwa kaz ya MUNGU,kama adhabu.Lakini leo vinaelezeka na kutabiriwa na mamlaka za hali ya Hewa na onyo linatolewa . Nachotaka kusema hapa ni kamba sayansi ,,inakuwa,, na itafumbua kila kitu.
,Kwangu mimi huwa naona kama n dalili za udhaifu ninaposikia kauli mfano,,""I DONT UNDERSTAND IT,THEREFORE GOD DID IT"" this is the kind of lazy argument.It doesn't help anything,but it leaves opens, since it doesn't explain even where God came from.

Kitu kikubwa alichofanya Darwin ni kuonesha ama kujuza ni jinsi gani unaweza kupata God like things/complex things (like humani Brain) kutoka katika omni nothing.

Ngoja niongelee kidogo CONCEPT YA EVOLUTION,maana najua ntaulizwa mbona manyani hayabadiliki siku hiz..

Watu wengi wanadhani kwamba EVOLUTION,inaonglea/inahusu manyani/masokwe kumzaa ama kugeuka binadam,!,ni hiv,Miaka kama milioni 25,ilopita Human being(watu) walikuwa""Common Ancestor "",NA MONKEYS ,CHIMPANZEE ,GORILLAZ n.k.Hili ndo jambo gumu watu kuelewa,Kwa kiswahili ni kwamba ,HATUKUWA MANYANI WALA MASOKWE BALI TULISHARE BAADHI YA TABIA ,VITU,UMBO,MWONEKANO n.k.,huwa napata shida sana kuelezea jambo hili.So 25,yearz ago our ancestors might have look like monkey,gorillaz,or chimpanzees.Narudia,tena neno MIGHT HAVE LOOK LIKE,NOT THEY WERE MONKEYS !,hata hivo uchunguz unaonesha tuko na ufanano wa karibu zaidi na CHIMPANZEE kuliko chimpanzee walivo na ufanano na gorillaz ama monkeys.

Je,evolution inaendelea?,hili swali ningelipata bila shaka,jibu ni NDIO,...

Inaendelea lakini its too slow for us to see,kumbuka tunaishi kwa miongo michache na pia evolution its too slow to be noted easy .We can see it in Bacteria only too visibly ,because thats y,ant-biological resistance is such a big problem and more immensely important medical problem.Take this ,if the doctors at the time of invention of penicillin which Darwin wishes about them,they would been able to predict that resistance to ant-biotic.refers the book known as,, THE SCIENCE OF DARWINIAN,, MEDICINE .another vivid example of the continuation of Evolution is just look ok history,try to observe the physical appearance of the people live in 14c,15c or even 7century,you may not a lot of differences comparing to us.

Presence of INTELLIGENT DESIGNER ?,

This logic is too low and poor!,
I an prove that there is NO Intelligent designer
1,There is no EVIDENCES ON THAT ARGUMENT
2.BY HIS RESPONSIBILITY.

This person God of tje JUDAISM ,CHRISTIANS,ISLAMS has nothing to do with the God who cares about us.Na katika uwanja wa Sayansi ,tukisema kama mapungufu yaliyopo yahusiane na mungu,hatuta muhusisha mungu nafsi!,,The same God created lawz of physics ?. Na kama katika Sayansi kukihitajika kuwa na Mungu,basi atakuwa DIASTIC GOD,And he is very very different from the Gods of religion ,na huyu ndiye aina ya kitu tunatumia muda kumuelezea.

Intelligence inakuja baada ya muda mwingi baada ya EVOLUTION,starting from nothing as we know and then chemistry takes over,Biology,.

Kwa hiyo katika dunia kunaweza kuwa na Gods like humani being.Nakubali kwamba kunaweza kuwa na life forms than us,ambao tukikutana tutabidi tuwapigie magoti LAKINI WATABAKI KUWA ZAO LA MUENDELEZO(the product of the process ),of evolution devlpmt.they will not be GOD,S In the sense that having created the laws of physics,or tje universal or life!.

Let me end up here,karibun...
Ungesoma vzuri quantum mechanics ungeelewa kuwa empty space ni concept ambayo iko katika scrutiny kutokana Na existence ya kitu kinaitwa quantum flactuations ambayo inasema kuwa particles zinaweza pop up yani kutokea Na kupotea katika sehemu yoyote Ile hvo basi empty that is vacuum cannot exist
 
Ungesoma vzuri quantum mechanics ungeelewa kuwa empty space ni concept ambayo iko katika scrutiny kutokana Na existence ya kitu kinaitwa quantum flactuations ambayo inasema kuwa particles zinaweza pop up yani kutokea Na kupotea katika sehemu yoyote Ile hvo basi empty that is vacuum cannot exist

Sina hakika na ulichoandika
 
Without the quantum theory we would not have the computers and the internet you are harping on.

How does the quatum theory contribute to the invention of computers as well as the internet? Specifically, which part of the theory explains the said inventions?
 
Without the quantum theory we would not have the computers and the internet you are harping on.

How does the quantum theory contribute to the invention of computers as well as the internet? Specifically, which part of the theory explains the said inventions?
 
A theory does not explain a fact. It is an idea that is suggested/ intended to explain a fact.
You are making a confusion between a theory and an hypothesis. A theory is a proven statement of fact and so it explains a fact. An hypothesis is a suggested statement intended to explain a fact.
 
The Gaps of Science does not create God,or means that There is GOD ,its the matter of time & Development in science fields.If they do create him,allow me to call him THE GOD OF GAPS,
The gaps do both. Neither do they create nor eliminate God
 
I cant prove his Absence,simply because he doesn't Exist.

Sasa kama nothing yenyewe ina -exist, how do you go further to prove that God does not exist, kisa tu kwamba huwezi ukamuona? Kama nothing ina exist then impliedy everything exists, including God. Tatizo huwa mnaanzia arguments kwenye Emperical Sayansi, halafu baadaye tena mnakimbilia kwenye Religion, mnaanza kutumia Biblia. The BIBLE is a not a tool of Empreical Science, it's a tool of Spritual Science. Neither does Emperical Science recognise Bible as it's tool. Kila Sayansi ina tools zake, na Emperical Science ndiyo huwa inaweka msisitizo mkubwa sana katika hili. Never swap the tools among different branches of Science, unless the particular tool is recognisable within that Branch of Science. Ukifanya hivyo utakuwa unatengeneza fallacy moja ya ajabu sana katika maisha yako yote
 
Biblia kuwepo haimaanishi Mungu yupo,kwan nani alikwambia Biblia iliyoka kwa Mungu?,

YESU alizaliwa kama wengine(swal dhaifu sana hili), haya maswal ya namna hii nimeshajibu sana humu jaribu kuwa unasoma comments na maswal ya wengine ndugu karibu.

Respect the fact that the Bible is not a tool of Emperical Science and so never use it in your arguments here! Moreover, observe also the fact that you have to use emperical tools in all your arguments with regard to emperical science and likewise, and spritual tools for spritual science. This implies that it is impossible to argue between these two Branches of Science but rather, only compare them, because they do not use the same tools
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom