Some lemonade for you madame!

Leo laleni tu, maana taarifa inajieleza kua episode inayofuata ni kesho saa saba mchana.
 
Hii hatari aisee,sidhani kama kuna mwanaume kipindi hiki mwenye kusamehe kama pedeshee,maana yale maneno ya doreen yalishiba daah
 
Hii hatari aisee,sidhani kama kuna mwanaume kipindi hiki mwenye kusamehe kama pedeshee,maana yale maneno ya doreen yalishiba daah

Hakuna asee. Sio kwa wanaume wa sahivi hawa wa mwendo kasi taabu tupu akikushika tu mara 1 ndio kwaheri. Kwanza mnakuwa mmepangana na anasubiri ukosee tu akuache, hawa wakina pedeshee wanaume wa zamani wanajua kupenda asee.

cesilia me nimempenda Pedeshee ana upendo wa kweli.
 
hahaaaaaa sio wote wamwitao bwanabwana wataurithi ufalme wa Mungu,

Ila PEDESHE ni kiboko, si kwa mlopoko ule kanisani mh!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…