Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 15,920
- 14,819
"SOME LEMONADE FOR YOU MADAME" akauliza butler
"No, I don’t want". akajibu! Akiwa amelalia hammock, saa 11 jioni jua likizama, akaendelea kusema kwa sauti ya chini, mume wangu anakuja, naamini anakuja, bado namsubiria, naamini mume wangu hatoniangusha atakuja tu, weekend hii lazima nikaonane nae hotelini hata kama hatofika hapa nyumbani kwasababu ya kazi yake. Akashuka kwenye hammock akaanza kucheza blues, imagining mume wake karibu nae wakacheza kuelekea kwenye bahari!
Marafiki zake Adrienne, Carrie and Chanel wakimwangalia Doreen kwa huruma na machozi, “ siamini, tunampoteza rafiki yetu kwenye ukichaa, na huyu mumewe kwani yupo wapi lakini anaemzungumzia kila saa? akauliza Channel
“Yuko wapi binti yake Sandra, tumemsubiri zaidi ya masaa 2 sasa” akauliza Adrienne.
“Nakuja jamani, huku anakimbia, samahani nilienda kuchukua keki ya mama, samahani kwa kuwaweka mama zangu, shikamooni wote,” akasema Sandra
“Marahaba”, wakajibu kwa pamoja.
“haya tufanye haraka, mimi natakiwa kuwahi airport nasafiri kwenda Geneva, nina kikao kesho asubuhi na ndege inaondoka saa 4 usiku hata sijapaki nguo” akasema Carrie.
Wakatandika nguo nzito wakatengeneza picnic ndeefu, huku wakimwangalia Doreen, akicheza kuelekea baharini. “Mama hapana jamani, usiende huko”, akaita Sandra, usije ukazama huko, huku akimkimbilia kwa nguvu kwenda kumtoa kwenye maji, akamfunika na taulo na kumfuta, wakarudi kwenye picnic. Saa 12 jioni na jua lilikuwa limeshazama, wakakaa wakala na kunywa, wakamwimbia happy Birthday Doreen, tunakupenda sana na tupo kwa ajili yako daima. Doreen aka-smile, “nawapenda pia marafiki zangu na mtoto wangu mzuri”.
MIAKA 10 ILIOPITA.
“Jamani, kesho twendeni kanisani, kuna mkesha wa singles, for 2 hours only, I mean it’s Friday midnight na hatuna cha kufanya, hatuna mabwana, hatuna hela kiiivyo, tumejichokea, bora twende kwa Bwana YESU, tukalale huko huko at least atatukumbuka!” akasema Adrienne.
Doreen said, “NIMECHOKA NA MAMBO YA KANISA ASEE, nimeokoa miaka 13 iliopita, bado naishi kama mtumwa, mfungwa sina raha maisha yangu hayaendi, I don’t think I can go”, church is there to mess up our sex life anyway, so i don't think am in."
Carrie, “well sina cha kufanya Friday night anyway, kwahiyo nitaenda”
Chanel, “ poa nitaenda, ila kuna huyu mume wa mtu anataka aje alale kwangu ijumaa, nimemchooooooka, kwanza mbahiiiiiiiliii afu ananiletea maupwiru yake haachi hata sumni akiondoka. hanisaidii kitu, ngoja nimpigie kwanza, afu nimweke loud speaker, mumsikie atasemaje”
Phone ringed, voice call came out,” alaaaaaaaaaaaaaaah wakkkkkkkkkkkkbarrrr alaaaaaaaaaah wakbar, ashwarwaaaailaaa yainlah aulwaaaaaaa, ashwarwannnnnnnnn, namuhamuuuuuuuuuuuu namuuuuuuhamad alaaaaaah ashwanlaaaaa, inlah lwaaaaaa, yahinlanlwaaaaaaaaaa,”
Baada ya kuita dk 2, Simu ikapokelewa.
Married Man: Hello Baby, nambie, sorry nimechelewa kupoikea nilikuwa nanawa mikono nimetoka msalani.
Chanel: Daddy pole kwa usumbufu, nilitaka kukwambia kesho sitakuwepo nyumbani, silali nyumbani kesho.
Married Man: hautakuwepo kivipi wakati mimi nimeshaaga kwa mkewangu nasafiri ili nije kuspend weekend na wewe?
Chanel: naenda kanisani kwenye mkesha wa mabinti, so nadhani nitarudi jumamosi saa 1 asbh
Married Man: ahaaa, ushapata bwana mwengine nini ndio unaanza vituko? ina maana umetupanga sio? uyo kesho, mimi siku nyingine? haya mama, wewe niombee na mimi, nitakuja jumamosi saa 1 usiku basi”
Chanel: akakata simu, naona na mimi naenda mkesha sasa. natumaini Mungu wako ni mkweli this time, sitaki kumess up my 30’s like my 20”s Adrienne.
Doreen akasema aya basi nitawasindikiza wapendwa wangu, maana sina hata cha kufanya, nimekaa nyumbani miaka 4 bila ajira, nikikaa tena ndani on friday night nahisi nitapasuka, kwahiyo ngoja n iende tu.
Wote wakacheka, wakiwa wamekaa wakila na kunywa, THE SLIP WAY. Yani um-by-pass Mungu for that married man, hata shetani atakushangaa” said Adrienne.
"Ok after mkesha tunaenda wapi? i mean Saturday night, au ndio kwa Dj John Deling tenaa? Maana Carrie amekukrem huko kiila weekend tupo huko asee, no wonder we are single” said Chanel
“NOOOOOOOOO”, wakajibu wote.
ITAENDELEA..
"No, I don’t want". akajibu! Akiwa amelalia hammock, saa 11 jioni jua likizama, akaendelea kusema kwa sauti ya chini, mume wangu anakuja, naamini anakuja, bado namsubiria, naamini mume wangu hatoniangusha atakuja tu, weekend hii lazima nikaonane nae hotelini hata kama hatofika hapa nyumbani kwasababu ya kazi yake. Akashuka kwenye hammock akaanza kucheza blues, imagining mume wake karibu nae wakacheza kuelekea kwenye bahari!
Marafiki zake Adrienne, Carrie and Chanel wakimwangalia Doreen kwa huruma na machozi, “ siamini, tunampoteza rafiki yetu kwenye ukichaa, na huyu mumewe kwani yupo wapi lakini anaemzungumzia kila saa? akauliza Channel
“Yuko wapi binti yake Sandra, tumemsubiri zaidi ya masaa 2 sasa” akauliza Adrienne.
“Nakuja jamani, huku anakimbia, samahani nilienda kuchukua keki ya mama, samahani kwa kuwaweka mama zangu, shikamooni wote,” akasema Sandra
“Marahaba”, wakajibu kwa pamoja.
“haya tufanye haraka, mimi natakiwa kuwahi airport nasafiri kwenda Geneva, nina kikao kesho asubuhi na ndege inaondoka saa 4 usiku hata sijapaki nguo” akasema Carrie.
Wakatandika nguo nzito wakatengeneza picnic ndeefu, huku wakimwangalia Doreen, akicheza kuelekea baharini. “Mama hapana jamani, usiende huko”, akaita Sandra, usije ukazama huko, huku akimkimbilia kwa nguvu kwenda kumtoa kwenye maji, akamfunika na taulo na kumfuta, wakarudi kwenye picnic. Saa 12 jioni na jua lilikuwa limeshazama, wakakaa wakala na kunywa, wakamwimbia happy Birthday Doreen, tunakupenda sana na tupo kwa ajili yako daima. Doreen aka-smile, “nawapenda pia marafiki zangu na mtoto wangu mzuri”.
MIAKA 10 ILIOPITA.
“Jamani, kesho twendeni kanisani, kuna mkesha wa singles, for 2 hours only, I mean it’s Friday midnight na hatuna cha kufanya, hatuna mabwana, hatuna hela kiiivyo, tumejichokea, bora twende kwa Bwana YESU, tukalale huko huko at least atatukumbuka!” akasema Adrienne.
Doreen said, “NIMECHOKA NA MAMBO YA KANISA ASEE, nimeokoa miaka 13 iliopita, bado naishi kama mtumwa, mfungwa sina raha maisha yangu hayaendi, I don’t think I can go”, church is there to mess up our sex life anyway, so i don't think am in."
Carrie, “well sina cha kufanya Friday night anyway, kwahiyo nitaenda”
Chanel, “ poa nitaenda, ila kuna huyu mume wa mtu anataka aje alale kwangu ijumaa, nimemchooooooka, kwanza mbahiiiiiiiliii afu ananiletea maupwiru yake haachi hata sumni akiondoka. hanisaidii kitu, ngoja nimpigie kwanza, afu nimweke loud speaker, mumsikie atasemaje”
Phone ringed, voice call came out,” alaaaaaaaaaaaaaaah wakkkkkkkkkkkkbarrrr alaaaaaaaaaah wakbar, ashwarwaaaailaaa yainlah aulwaaaaaaa, ashwarwannnnnnnnn, namuhamuuuuuuuuuuuu namuuuuuuhamad alaaaaaah ashwanlaaaaa, inlah lwaaaaaa, yahinlanlwaaaaaaaaaa,”
Baada ya kuita dk 2, Simu ikapokelewa.
Married Man: Hello Baby, nambie, sorry nimechelewa kupoikea nilikuwa nanawa mikono nimetoka msalani.
Chanel: Daddy pole kwa usumbufu, nilitaka kukwambia kesho sitakuwepo nyumbani, silali nyumbani kesho.
Married Man: hautakuwepo kivipi wakati mimi nimeshaaga kwa mkewangu nasafiri ili nije kuspend weekend na wewe?
Chanel: naenda kanisani kwenye mkesha wa mabinti, so nadhani nitarudi jumamosi saa 1 asbh
Married Man: ahaaa, ushapata bwana mwengine nini ndio unaanza vituko? ina maana umetupanga sio? uyo kesho, mimi siku nyingine? haya mama, wewe niombee na mimi, nitakuja jumamosi saa 1 usiku basi”
Chanel: akakata simu, naona na mimi naenda mkesha sasa. natumaini Mungu wako ni mkweli this time, sitaki kumess up my 30’s like my 20”s Adrienne.
Doreen akasema aya basi nitawasindikiza wapendwa wangu, maana sina hata cha kufanya, nimekaa nyumbani miaka 4 bila ajira, nikikaa tena ndani on friday night nahisi nitapasuka, kwahiyo ngoja n iende tu.
Wote wakacheka, wakiwa wamekaa wakila na kunywa, THE SLIP WAY. Yani um-by-pass Mungu for that married man, hata shetani atakushangaa” said Adrienne.
"Ok after mkesha tunaenda wapi? i mean Saturday night, au ndio kwa Dj John Deling tenaa? Maana Carrie amekukrem huko kiila weekend tupo huko asee, no wonder we are single” said Chanel
“NOOOOOOOOO”, wakajibu wote.
ITAENDELEA..