Somalia yaanza kuwafukuza Wakenya!

imhotep

JF-Expert Member
Oct 13, 2012
46,674
71,041
Hawa watu hawana uungwana wampokewa na na Kenya na kupewa Makambi Sasa Angalia na bado hawa Watu Wataitesa Afrika ya Mashariki.
Ewe Mtanzania Ewe Mkenya Balaa linakuja.
 

Wakati huo huo Wamarekani wenye asili ya Israel wanakosa amani kutoka kwa Mbunge Huyu Mkimbizi kutoka Somalia.

Asili yake ni kutoka Central Somalia
 
Vita sio kitu kizuri watafute namna ya kumaliza huo utata sisi tz tunaipenda somalia na kenya pia...
 

Wanawapenda hawa Wamahara kupita kiasi hii ni Aibu kwa Afrika.
Hadi imefikia wanasema wao ni Ndugu ya Wamahara Ismaiil hahahaaa!!!..Sijui sisi Waafrika wenzao Tuliwakosea nini?!!
 

Maiti za Wasomali waliojifanya kutuvamia AMISOM cheza na SHAKA ZULU weye.
 
Ngoja tumalize wanaume wote hapo Mogadishu na Puntland halafu tupeleke majeshi ya Wakorowai yakafanye Shughuli

Majeshi imara ya Wakorowai ni Mwaka mmoja tu wanaibadilisha nchi hiyo ya South Somalia.
 
Hawa watu hawana uungwana wampokewa na na Kenya na kupewa Makambi Sasa Angalia na bado hawa Watu Wataitesa Afrika ya Mashariki.
Ewe Mtanzania Ewe Mkenya Balaa linakuja.

Hawajafanya vizuri mbona kenya inawahifazi wa somali wenginzaidi eti tena illegal tu na bado wanawafanyia ukorofi lkn wao wa somaki wana wafukuza hao 27 tu kweli jaman LDC citizens are expelled like trush ?
 
Wasomali wa Somaliland hawana kwere na mtu yeyote kwanza Wakenya wamejaa Somaliland


Wenyewe Wanaiita Jamhuri Iliyobarikiwa ya Somaliland.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…