Kafrican
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 7,212
- 6,972
Wabajuni pia hua wanaonewa huko somalia, kapo karibu na mpaka wa Somalia na Kenya kule Lamu, Wabajuni wa upande wa Somalia hua wanaonewa sana eti hao si "pure blood' ya kisomalia.... mpaka kuna wengine walikua wanasema wataunda chama kitakacho wa wakilisha kulalamika UN ili waruhusiwe kuishi upande wa Kenya