Somalia kuna vocation marriage

Somalia kuna vocation marriage

Ni kweli lakini sio Somalia tu.....swala ni umasikini, kila mzazi anafikilia mtoto wake aolewe na mtu wakutoka,Ulaya na Maricani wanajua mtoto wake atapelekwa huko huko au atakua anatumiwa dollors....hapa kwetu ukisikia mtoto wajilani katoka ughaibuni amekuja likizo,ma binti watamiminika, kila atakae mtongoza atakubali tu kwamkwara wa kumuoa....baada ya likizo kuisha ataacha mimba zaidi ya 3. girls and mothers can be fooled easily.
 
Wapo wanaokwenda kuoa na kuwachukua na wapo wanaowaacha
Kiukweli ni sehemu nyingi duniani wanafanya hivyo

Na wengine wanapofika retirement zao huwa wanarudi na kuoa wasichana wadogo
Hii ni mbaya zaidi maana hao wazee hufa na kuwaacha watoto yatima wengi na kukosa maisha ya uhakika

Ni mambo ambayo yanahuzunisha sana lakini yapo sana
 
Hiyo mutah au temporary marriage, haijakubarika katika mainstream Islam, Qura'n au Sunna za mtume haipo....limeletwa na maadui wa uislamu kwa kutumia dhehebu la Washia wabao ishi Marican na Ulaya....Islam can't support such a foolish action.

Na hapo ndipo mimi ninaposema Mungu hayupo, hizi zote ni habari za watu tu, angekuwepo, kusingekuwa na utata wote huu katikahabari zake.
 
Na hapo ndipo mimi ninaposema Mungu hayupo, hizi zote ni habari za watu tu, angekuwepo, kusingekuwa na utata wote huu katikahabari zake.
Ni kweli atawaislamu tunaamini hamna Mungu isipo kua "Allah" tu. Hiyo ndo "kilimah shahadah" ndo ufunguo wa kuingia uslamu
 
Kwahiyo Allah ni kinyama si Mungu?
endelea kuamini hakuna mungu,hakuna anaekuzuwia..mlolongo wako wa kifikra kufikia hitimisho huwa wa kijuha japo unajiona unajua kufikiri..ati utata!!?..unahukumu kitu wakati hukijui zaidi ya kusikiasikia tu!
 
endelea kuamini hakuna mungu,hakuna anaekuzuwia..mlolongo wako wa kifikra kufikia hitimisho huwa wa kijuha japo unajiona unajua kufikiri..ati utata!!?..unahukumu kitu wakati hukijui zaidi ya kusikiasikia tu!
Si kwamba naamini hakuna Mungu, huyo mnayesema Allah hayupo.

Angekuwepo, watu wanaotaka kumuamini wasingekuwa na mafunzo tofautitofauti.

Asingeandikwa mahsusi kwa watu fulani.

Aingejifichajificha asijulikane kwa hakika.

Asingeandikwa kwenye vitabu vye tafsiri tata.

Habari zake zisingekuwa na contradiction.

Hayo yote yanawezekana kwa sababu hayupo, ni hadithi za kutungwa na watu tu.
 
Si kwamba naamini hakuna Mungu, huyo mnayesema Allah hayupo.

Angekuwepo, watu wanaotaka kumuamini wasingekuwa na mafunzo tofautitofauti.

Asingeandikwa mahsusi kwa watu fulani.

Aingejifichajificha asijulikane kwa hakika.

Asingeandikwa kwenye vitabu vye tafsiri tata.

Habari zake zisingekuwa na contradiction.

Hayo yote yanawezekana kwa sababu hayupo, ni hadithi za kutungwa na watu tu.
ndiyo maana nakwambia huna ujualo,mafunzo tofauti ya allah yapi?,vitabu vya tafsiri tata vipi?(kitsbu cha allah ni quraan tu),hajajificha ila una uwezo mdogo wa kufikiri,kitabu chake(quraan) hakina contradiction
 
Somalia umeenda mbali sana. Mbona haya mambo yanafanyika sana hapo Zanzibar na waarab kutoka Oman.
Wanapofika Zanzibar hupatiwa wasichana mabikra na kuwaoa kwa muda kwa matumizi ya NGONO. Muda wao unapoisha huondoka zao na kuacha watoto wa kike wakitaabika na familia zao.
Zanzibar kuna Mawakala kabisa wa kutayarisha hizo ndoa fake.
 
Back
Top Bottom