Somali young soldiers: tunaipeleka wapi dunia?

Somali young soldiers: tunaipeleka wapi dunia?

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,745
Reaction score
830,859
1408679135056.jpg
 
magaidi wa baadae hao.kuwekeza muhimu,lazima uwe na wapiganaji wa akiba kwa nyakati zijazo.wasemaji wao humu ndani watakuja kuunga mkono.
 
Hii kali sipat picha huyu dogo akija kukuwa atafanania je na ugaid wenywe!
 
Gaidi wa kwanza kuwekwa ktk HISTORIA anapatikana kwenye BIBLIA.
Huyu GAIDI jina lake Aliitwa SAMSON.
Alijitoa MUHANGA kwa kuangusha nguzo za nyumba KAFA YEYE na WATU WASIO NA HATI ZAIDI YA 3000!

Unamjua? Au nikupe andiko?
Manake nyie wagalatia andiko lenu pia hamlijui.

Kasome WAAMUZI 16:29 uone mnavyouwa watu wasio na hatia yyt.
Halafu mnatunga na nyimbo za Kumsifu GAIDI Samsoni.

Na wa pili ni YESU! aliyejitoa Roho yake mwenyewe.

Anasema.

YOHANA 10:17

Ndiposa Baba anipenda, kwa sababu nautoa uhai wangu ili niutwae tena.-
18-Hakuna mtu aniondoleaye, bali mimi nautoa mwenyewe.

YAANI KAJIUA MWENYEWE!

Nyie ndio mmefundisha watu Mambo ya KUJITOA MUHANGA.

Tuachane na udini malumbano ya udini hata vita hakunaga mshindi za kuwaumiza wasiohusika
 
Gaidi wa kwanza kuwekwa ktk HISTORIA anapatikana kwenye BIBLIA.
Huyu GAIDI jina lake Aliitwa SAMSON.
Alijitoa MUHANGA kwa kuangusha nguzo za nyumba KAFA YEYE na WATU WASIO NA HATI ZAIDI YA 3000!

Unamjua? Au nikupe andiko?
Manake nyie wagalatia andiko lenu pia hamlijui.

Kasome WAAMUZI 16:29 uone mnavyouwa watu wasio na hatia yyt.
Halafu mnatunga na nyimbo za Kumsifu GAIDI Samsoni.

Na wa pili ni YESU! aliyejitoa Roho yake mwenyewe.

Anasema.

YOHANA 10:17

Ndiposa Baba anipenda, kwa sababu nautoa uhai wangu ili niutwae tena.-
18-Hakuna mtu aniondoleaye, bali mimi nautoa mwenyewe.

YAANI KAJIUA MWENYEWE!

Nyie ndio mmefundisha watu Mambo ya KUJITOA MUHANGA.

na wewe ni gaidi wa ngapi?
 
wakati mwingine huwa nashangaa kwanini watoto wa kiyahudi wana sura zimekomaa sana.
w-israeli-boy-gun.jpg.jpg
.

When Israelis Teach
Their Kids To Hate
By Michael Kaplan
A boy plays with a rifle during a
weapons display in Efrat,
Independence Day 2014 / Getty
Images
Little kids throw mock grenades
and pretend to shoot big guns; a
boy crawls militant-style as gun-
wielding adults cheer him on; a
girl wearing a pink dress carries
a rocket launcher twice her size.
These are some of the disturbing
photos that flooded out of the
West Bank earlier this week on
Israel’s Independence Day, or
what Palestinians call the Nakba
(Catastrophe).
I can imagine that despair and
hopelessness probably rattled
the Jewish community. How
could there ever be peace when
kids are trained to aspire toward
violence and militancy?
At my old Jewish day school,
there was probably a lot of
chatter about how this was
further proof that only military
force could work to quell
violence. The Middle East Media
Research Institute (MEMRI) was
probably all over the story.
 
FROM RUSSIA WITH LOVE.
boy-two-guns.jpg
.
Russia: Children
Undergo Weapons
Training at Cadet
School
 
huoni picha ya huyo mtoto kuna askari nyuma inaonekana ndo anamwelekeza kurenga shabaha?.

Nikweli mkuu, pia baada ya kukoment nikawa nimegundua kitu kingine kwenye picha ya huyu mtoto kuna lebal ya Unicef so hii sio ya kuigiza ila yule mtoto wa kiarabu anaigiza!
 
Weeeeeeeeee!. Usitake kupotosha hapa. Hao wafilist walimfanyaje Samson? Unasema waliokufa hawakuwa na hatia? Walimpeleka Samson kufanya nini kwa dagoni? Siku zote waarabu ni wachokozi na cunning wa kugeuza hadithi!. Mbona wanajulikana kwa sababu hata uwongo kwao si dhambi!.

Gaidi wa kwanza kuwekwa ktk HISTORIA anapatikana kwenye BIBLIA.
Huyu GAIDI jina lake Aliitwa SAMSON.
Alijitoa MUHANGA kwa kuangusha nguzo za nyumba KAFA YEYE na WATU WASIO NA HATI ZAIDI YA 3000!

Unamjua? Au nikupe andiko?
Manake nyie wagalatia andiko lenu pia hamlijui.

Kasome WAAMUZI 16:29 uone mnavyouwa watu wasio na hatia yyt.
Halafu mnatunga na nyimbo za Kumsifu GAIDI Samsoni.

Na wa pili ni YESU! aliyejitoa Roho yake mwenyewe.

Anasema.

YOHANA 10:17

Ndiposa Baba anipenda, kwa sababu nautoa uhai wangu ili niutwae tena.-
18-Hakuna mtu aniondoleaye, bali mimi nautoa mwenyewe.

YAANI KAJIUA MWENYEWE!

Nyie ndio mmefundisha watu Mambo ya KUJITOA MUHANGA.
 
Weeeeeeeeee!. Usitake kupotosha hapa. Hao wafilist walimfanyaje Samson? Unasema waliokufa hawakuwa na hatia? Walimpeleka Samson kufanya nini kwa dagoni? Siku zote waarabu ni wachokozi na cunning wa kugeuza hadithi!. Mbona wanajulikana kwa sababu hata uwongo kwao si dhambi!.

mkuu samsoni kwa starndard ya miaka hii ana qualify kuita gaidi.unampinga bure kahtaan ngoja nikuwekee full data.
 
Child soldiers ni hatari kweli kweli. Hao wakikukuta wala hawajiulizi mara mbili, uwe mama mjamzito, sijui kizee wanakupelekea moto tu....maswali na majibu ni akhera...they are highly brain washed...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom