Soma Sheria ya elimu kwa kidato Cha Pili na Cha Nne

Al-akhdally

Member
Jul 3, 2018
90
112
Nilikua nafanya reference katika sheria kadhaa za elimu Sekondari kwa watoto wa kidato Cha Pili na kidato Cha Nne. Nimeona watoto wote wa madarasa ya mitihani hawapaswi kuingia kwenye vyumba vya mitihani bila ya kuwa na kitambulisho halali Cha shule au Barua kutoka kwa mkuu wa shule inayomhalalishia yeye kuingia katika mitihani yake ya mwisho.

Kutokana na umuhim wa jambo hilo Nimekuja na promotion ya kabambe kwa wakuu wote wa shule, ntakuaandalia vitambulisho vya wanafunzi wako wote kwa material ya kadi za PVC, Wengine wanaita digital plastic Cards, kwa Bei sawa na bure. Na huduma hii utaipata ndani ya masaa 24 baada ya kukusanya maelezo yote ya wanafunzi wako.

Kawaida huwa tunafanya 5000 kwa kila kitambulisho kimoja, lkn kwa sababu tunasaidia hii sheria ya elimu. Tutakuletea vitambulisho vyako kwa gharama ya shilingi 3000/= tu, big discount (40% less)
Unafkiri Kuna haja ya kujishauri mara mbilimbili?
Naomba nicheki kwa namba yangu
0783973428 nipo kinondoni Dar es Salaam. Malipo yote yanafanywa baada ya kazi kukamilika au kwa makubaliano maalum na kwa wateja wa ndani ya Dar es Salaam nafanya Free delivery.
Nje ya dar Utachangia usafiri au tutakavyokubaliana.
0783973428
 
Nilikua nafanya reference katika sheria kadhaa za elimu Sekondari kwa watoto wa kidato Cha Pili na kidato Cha Nne. Nimeona watoto wote wa madarasa ya mitihani hawapaswi kuingia kwenye vyumba vya mitihani bila ya kuwa na kitambulisho halali Cha shule au Barua kutoka kwa mkuu wa shule inayomhalalishia yeye kuingia katika mitihani yake ya mwisho.

Kutokana na umuhim wa jambo hilo Nimekuja na promotion ya kabambe kwa wakuu wote wa shule, ntakuaandalia vitambulisho vya wanafunzi wako wote kwa material ya kadi za PVC, Wengine wanaita digital plastic Cards, kwa Bei sawa na bure. Na huduma hii utaipata ndani ya masaa 24 baada ya kukusanya maelezo yote ya wanafunzi wako.

Kawaida huwa tunafanya 5000 kwa kila kitambulisho kimoja, lkn kwa sababu tunasaidia hii sheria ya elimu. Tutakuletea vitambulisho vyako kwa gharama ya shilingi 3000/= tu, big discount (40% less)
Unafkiri Kuna haja ya kujishauri mara mbilimbili?
Naomba nicheki kwa namba yangu
0783973428 nipo kinondoni Dar es Salaam. Malipo yote yanafanywa baada ya kazi kukamilika au kwa makubaliano maalum na kwa wateja wa ndani ya Dar es Salaam nafanya Free delivery.
Nje ya dar Utachangia usafiri au tutakavyokubaliana.
0783973428
Ni ujasiriamali mzuri unaotaka kuufanya.Lakini,sheria bila busara inakuwa ubwege uliopitiliza.Vitambulisho ni gharama ya fedha.Sasa,mwalimu ashindwe kuwaruhusu wanafunzi anaowafahamu kuingia chumba cha mtihani kwa sababu ya kipande cha karatasi kisichohusiana na mitihani boss wangu?
 
Nilikua nafanya reference katika sheria kadhaa za elimu Sekondari kwa watoto wa kidato Cha Pili na kidato Cha Nne. Nimeona watoto wote wa madarasa ya mitihani hawapaswi kuingia kwenye vyumba vya mitihani bila ya kuwa na kitambulisho halali Cha shule au Barua kutoka kwa mkuu wa shule inayomhalalishia yeye kuingia katika mitihani yake ya mwisho.

Kutokana na umuhim wa jambo hilo Nimekuja na promotion ya kabambe kwa wakuu wote wa shule, ntakuaandalia vitambulisho vya wanafunzi wako wote kwa material ya kadi za PVC, Wengine wanaita digital plastic Cards, kwa Bei sawa na bure. Na huduma hii utaipata ndani ya masaa 24 baada ya kukusanya maelezo yote ya wanafunzi wako.

Kawaida huwa tunafanya 5000 kwa kila kitambulisho kimoja, lkn kwa sababu tunasaidia hii sheria ya elimu. Tutakuletea vitambulisho vyako kwa gharama ya shilingi 3000/= tu, big discount (40% less)
Unafkiri Kuna haja ya kujishauri mara mbilimbili?
Naomba nicheki kwa namba yangu
0783973428 nipo kinondoni Dar es Salaam. Malipo yote yanafanywa baada ya kazi kukamilika au kwa makubaliano maalum na kwa wateja wa ndani ya Dar es Salaam nafanya Free delivery.
Nje ya dar Utachangia usafiri au tutakavyokubaliana.
0783973428
Uzuri wake hata Kama hakuna kitambulisho PHOTO ENTRY ni kitambulisho tosha kwa msimamizi,hiyo Sheria imepitwa na wakati kwa kuwa miaka ya nyuma hakukuwa na kitu kiitwacho Photo Entry
 
Wawekee kapicha eti
Umeeleweka mkuu.. kazi ni nyingi mno. Baadhi ya kazi sio halali kukaa public. Nashauri ataehitaji sample aje Whatsapp tushare. Tafaadhali sana
JamiiForums213649642.jpg
View attachment 2302375
 
Ni ujasiriamali mzuri unaotaka kuufanya.Lakini,sheria bila busara inakuwa ubwege uliopitiliza.Vitambulisho ni gharama ya fedha.Sasa,mwalimu ashindwe kuwaruhusu wanafunzi anaowafahamu kuingia chumba cha mtihani kwa sababu ya kipande cha karatasi kisichohusiana na mitihani boss wangu?
Wasimamizi hawawajui maana wanatoka shule zingine
 
Back
Top Bottom