Hapa umenena, Elimu ni tatizo kwa wengi waislamu na wamekazana kusema mfumo kristo kwa kuwa viongizi wengi walioshikilia serikali na maendeleo ki ujumla ni wakristo.
Kihistoria wakristo walithamini saana elimu hata mababu wa kikristo ndio waliowasomesha watoto wao ambao kwa sasa wengi wao ni viongozi na wenye maendeleo.
Kwa upande wa waislamu mababu zao walikazania saana elimu akhera (madrasa) na kuwa sheikh ndo lengo kuu. Na kwa sasa ndio hawa wanaolalamikia mfumo kristo.
Ukweli utabaki pale pale... Kwa dunia ya sasa bila elimu dunia hufiki popote hasa kwenye upande wa uongozi! Cha msingi ni kubadilika na kukubali kuwa ELIMU ndo kila kitu ifanywe iwe ni lazima kwa kila mtu.
Na siku zoote mtu anayelalamikia mifumo ya kidini kama ndio kikwazo chunguza saaana Elimu na malezi yake yaliyomkuza hutobishana nae.
waislam wengimnaochangia humu amuelewi mnachokisema huo mfumokristo ndio uliowakosesha waislam elimu kwann kwenye mitihani kutoka kwenye majina ya wanafunzi mpaka namba kilionekana nn hapo na kwataarifa zenu waislam ni walielimika kabla ya makafiri sababu watuwapwani ambao 90% ni waislam ndio waliowapokea wakoloni na hiyo elimu mnayoisema imeletwa na hao wakoloni . Angalia elimu hiyo walionayo hao wakristo walijazana kwenye tawala mbalimbali za nchi hii angalia njaa na mateso ilivyotawala nchi hii elimu yao inasaidia nini wezi wakubwa na elimuyao yakukaririshwa na wazungu . Kwann inakuwa hivyo hii dini yao yakutunga ukristo haifundishi upendo kwa asie mkristo zaidi ya chuki wala haiwafundishi kuogopa dhulma kwani unaweza ukadhulum alafu ukaenda kutubia kwa padre kweli kutakuwa namaendeleo nchi hii