muyombakeneyo
Member
- Jun 1, 2012
- 55
- 13
Pia nashindwa kuelewa kwann waislamu walalamike kuwa kuwa kuna mfumo kristo wakati vyuo vya kikristo havibagui wala havikuchagulii mavazi, tofauti na vyuo vya kiislamu, mf.Pale Chuo kikuu cha kiislamu morogoro wakristo hawajichagulii mavazi wote kama ni wasichana wanavaa kama waislamu, pale Songea Muslim pia hivyo hivyo, huo sio unyanyasaji kwa wakristo hawa? Mbona waislamu ktk vyuo vya kikristo wapo huru!!.Hivyo waislamu tusipende kulalamika without doing research.Elimu mbovu mnaipata kutokana na kuangalia udin kuliko kuangalia nan ana uwezo gan.
Ni kweli vyuo vingi vya kikristo havina ubaguzi katika mavazi kama wafanyavyo upande wa pili. Hili mimi nalipinga vikali kwani mavazi hayasaidii kitu kama una akili za wastani.