Je,una habari?Mwezi huu una ijumaa tano, Jumamosi tano,na Jumapili tano?Hii hutokea kila baada ya miaka 823!Mara ya mwisho ilitokea mwaka 1191 na itatokea tena mwaka 2837!TAFAKARI,NA KAMWE HUTASHUHUDIA TENA KUTOKEA IJUMAA,JUMAMOSI NA JUMAPILI TANO KWA MWEZI MMOJA MAISHANI MWAKO.
umenifanya niangalie kalenda....sawa kabisa!
Hata mimi nimekimbilia Kalenda haraka mno kuthinibisha....
Mwezi huu wa 8 kwa 2014 ni mwezi wa ajabu saaana ..ndio mwezi pekee wenye ijumaa 5, jmos 5 na jpili 5..mara ya mwisho mwezi kama huu kutokea ni zaidi ya miaka 252 iliyopita. Nini maoni yako mdau.