arusha safi
Member
- Jul 1, 2014
- 20
- 4
nina mashaka na hiyo kalenda yako. ya wapi hii?
Mwezi huu wa 8 kwa 2014 ni mwezi wa ajabu saaana ..ndio mwez pekee wenye ijumaa 5, jmos 5 na jpili 5..mara ya mwisho mwezi kama huu kutokea ni zaidi ya miaka 252 iliyopita. Nini maoni
haiashirii chochote isipokuwa sina shaka kwamba umeshawahi kushuhudia matukio yenye ishara ya kurudi kwa Yesu kama maandiko yanenavyo. maovu yataongezeka, vita kila mahali, upendo wa wengi kupoa, na watu kupenda pesa kuliko Mungu
Mwezi huu wa 8 kwa 2014 ni mwezi wa ajabu saaana ..ndio mwezi pekee wenye ijumaa 5, jmos 5 na jpili 5..mara ya mwisho mwezi kama huu kutokea ni zaidi ya miaka 252 iliyopita. Nini maoni yako mdau.
Maana yake una siku mbili za ziada za Walevi kukesha baa..! Ukijumlisha na Nane-Nane maana yake kuna jumla ya siku 11 (kati ya 31) za kukesha baa...! Too bad
Wasted 11 days...!
maoni yangu ni kuwa wewe hujui geography.... Hizi tarehe hazitokei by chance....zipo wazi na very open....ninicha ajabu kuwa siku 5 ijumaa,jmos na j2? Angalia mwakani january kuna hzo cku unazoshishadidia....afu umedanganywa at zilitokea miaka 252 iliyopita? Angalia mwaka 1997 then futa hiyo 252. In short hakuna cha ajabu chochote kile
ok, mwaka 1997 ni exactly kama 2014 je pana miaka 823 hapo? In short nlishackia cku nyingi huu ----- kutoka kwa one of wahubiri wetu awa...![]()
Du kweli ni maajabu kwani Wachina wanasema ni kila baada ya miaka 823
ndugu yangu hii siyo Jiografia Pota tumuia akili kidpgo utagundua maajabu ya NUSU MWEZI MAPUMZIKO siku 15 na siku 16 za kazi
ni wiki 3 mfululizo kwa mwezi mmoja kuwa Ijumaa, Jumamosi na Jumapili (Mapumziko)
kwa huo mfano wako mbona hata mwezi Julai 2014 unajaa Jumanne Jumatano na alhamis?
na ni kila baada ya MIAKA 823 na sio miaka 252
Katika hizo siku jua litachwea toka magharibi au kama kawaida?Mwezi huu wa 8 kwa 2014 ni mwezi wa ajabu saaana ..ndio mwezi pekee wenye ijumaa 5, jmos 5 na jpili 5..mara ya mwisho mwezi kama huu kutokea ni zaidi ya miaka 252 iliyopita. Nini maoni yako mdau.
kalenda ya mwaka 1997 na ya mwaka huu 2014 zinafanana...na kuna mdau alishatupia humu kama huna kalenda ya 2014 waweza tumia ya 1997 mwaka 2010 nikiwa arush kuna pastor nilimskia akiwadanganya audience hvhvi...at mwaka huo ni wa ajabu kwani mwezi wa kumi mwaka 2010 una hizo siku tatu zenye cku tano na hjitokeza kila baada ya mmiaka 823....Mungu ana jambo juu yako.........anyway naona safari hii wamekuja na mwezi wa nane....Mtumaji hakusema tarehe hizi zinatokea by chance, kama vile kupatwa kwa jua au mwezi unaweza kufanya mahesabu tu, lakini watu bado tunatazama na kushangaa.
January 2015 hauna Ijumaa5, Jumamosi 5, na Jumapili 5.
Mwaka 1997 hukusema ni mwezi gani ulikuwa na Ijumaa5, Jumamosu 5, na Jumapili 5
maoni yangu ni kuwa wewe hujui geography.... Hizi tarehe hazitokei by chance....zipo wazi na very open....ninicha ajabu kuwa siku 5 ijumaa,jmos na j2? Angalia mwakani january kuna hzo cku unazoshishadidia....afu umedanganywa at zilitokea miaka 252 iliyopita? Angalia mwaka 1997 then futa hiyo 252. In short hakuna cha ajabu chochote kile
Mtumaji hakusema tarehe hizi zinatokea by chance, kama vile kupatwa kwa jua au mwezi unaweza kufanya mahesabu tu, lakini watu bado tunatazama na kushangaa.
January 2015 hauna Ijumaa5, Jumamosi 5, na Jumapili 5.
Mwaka 1997 hukusema ni mwezi gani ulikuwa na Ijumaa5, Jumamosu 5, na Jumapili 5
kalenda ya mwaka 1997 na ya mwaka huu 2014 zinafanana...na kuna mdau alishatupia humu kama huna kalenda ya 2014 waweza tumia ya 1997 mwaka 2010 nikiwa arush kuna pastor nilimskia akiwadanganya audience hvhvi...at mwaka huo ni wa ajabu kwani mwezi wa kumi mwaka 2010 una hizo siku tatu zenye cku tano na hjitokeza kila baada ya mmiaka 823....Mungu ana jambo juu yako.........anyway naona safari hii wamekuja na mwezi wa nane....
Hili ni jambo la kawaida tu, januari na julai 2016 na Mei 2015 nayo ina tarehe kama hizo kwa hiyo ni kawaida sana.
sio 11 ni 12 out of 31 za kula ngano.... mwezi hatari sana kwa maendeleo..
Mwezi huu wa 8 kwa 2014 ni mwezi wa ajabu saaana ..ndio mwezi pekee wenye ijumaa 5, jmos 5 na jpili 5..mara ya mwisho mwezi kama huu kutokea ni zaidi ya miaka 252 iliyopita. Nini maoni yako mdau.