Wakati umefika kama CCM hawatachukua hatua kwa viongozi wao wasubiri wananchi watachukua hatua kwa kuwapa adhabu mafisadi.
Below is an sms ambayo inasambazwa kwa wabunge wa CCM.Nimeipata kutoka kwa Mbunge ambaye ofcoz siwezi kumtaja hapa.Mkakati wa kwanza ni kumng'oa Makamba thru vote of no confidence...
"WAHESHIMIWA WABUNGE,BAADA YA KUMTOSA UKATIBU MKUU MAKAMBA TUINUSURU NCHI YETU KWA KUMTOSA JK.MAMLAKA YA KIKATIBA TUNAYO.MCHAKATO UANZE BUNGENI.SPIKA AMALIZIE KUIONGOZA NCHI HADI 2010.MZEE MALECELA SPIKA.WASWAHILI HAWA WARUDI NCHI NA CHAMA
VIMEWASHINDA.TUMA KWA WABUNGE 10"
Below is an sms ambayo inasambazwa kwa wabunge wa CCM.Nimeipata kutoka kwa Mbunge ambaye ofcoz siwezi kumtaja hapa.Mkakati wa kwanza ni kumng'oa Makamba thru vote of no confidence...
"WAHESHIMIWA WABUNGE,BAADA YA KUMTOSA UKATIBU MKUU MAKAMBA TUINUSURU NCHI YETU KWA KUMTOSA JK.MAMLAKA YA KIKATIBA TUNAYO.MCHAKATO UANZE BUNGENI.SPIKA AMALIZIE KUIONGOZA NCHI HADI 2010.MZEE MALECELA SPIKA.WASWAHILI HAWA WARUDI NCHI NA CHAMA
VIMEWASHINDA.TUMA KWA WABUNGE 10"
Come on guys....This is a junk! Don't be deceived by stupid strategies!
Come on guys....This is a junk! Don't be deceived by stupid strategies!
Below is an sms ambayo inasambazwa kwa wabunge wa CCM.Nimeipata kutoka kwa Mbunge ambaye ofcoz siwezi kumtaja hapa.Mkakati wa kwanza ni kumng'oa Makamba thru vote of no confidence...
"WAHESHIMIWA WABUNGE,BAADA YA KUMTOSA UKATIBU MKUU MAKAMBA TUINUSURU NCHI YETU KWA KUMTOSA JK.MAMLAKA YA KIKATIBA TUNAYO.MCHAKATO UANZE BUNGENI.SPIKA AMALIZIE KUIONGOZA NCHI HADI 2010.MZEE MALECELA SPIKA.WASWAHILI HAWA WARUDI NCHI NA CHAMA
VIMEWASHINDA.TUMA KWA WABUNGE 10"
Call it whatever you like sir,lakini hii sms hata yeye JK mwenyewe kaipata,na kishapigia wabunge wengi tu simu akiwauliza sasa yeye afenyeje.