Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 34,637
- 37,959
Ukitaka kushauriwa kipumbavu, ndo utashauriwa hivyo...hili jukwaa nalipenda sana lakin
Kuna kiu nimegundua mtu anatoa tatizo lake mumshauri mnachokifanya ni kumponda!!
Ina maanisha nyie ni wasafi sana au!?kama unaona mtu alichokifanya na akataka ushauri hapa ni vha kipumbavu si shauri katika njia ya kistaarabu??
Wengine tumekuja humu tukijua watu wa humu wamepevuka lakin hapana kuna baadhi wanaharibu hili jukwaa,hakuna mtu asiye na makosa,tena wengne hayaelezeki
Acheni kujifanya watakatifu hakuna aliye mtakatifu kama huna mchango