Soma hapa ujifunze madhara ya sembe

Soma hapa ujifunze madhara ya sembe

Mboga za majani na matunda zina fibre

fibre si lazima uzipate kwenye dona tu

keep an open mind
Na boresha ujuzi wa masuala ya lishe
Fibre ni suala la 'whole grain' kwenye hizi nafaka

Na vegetables ziliwe the fresher the better
Na matunda bila kusaga na kuchuja
Kama ni smoothie basi usichuje

ni kama vile nyama haina fibre pia
But ukiila na veggies inasaidia wala hupati constipation wala bawasiri

js learn to balance ur meals
And u can eat anything
Super.
 
Kwani nyama kwa wiki kwa mtanzania wa kawaida anakula kiasi gani?Si kidogo sana?

Cheaper kwa wanaoishi vijijini ila siyo kwa mjini
Hata mjini
Hawezi afford nyama
Atakula mboga ya majani most of the times.,ama cabbage .,zote zina fibre hizo

mjini hivi vya KFC na chips yai ni ghali na ndo most unhealthy
Vitumbua ama mkate likewise ni ghali kuliko mihogo ya kuchemsha
Lakini healthier ni mihogo ya kuchemsha
 
Habari zenu wataalamu wa afya,

Naombeni kuuliza hv kati ya unga wa dona na unga wa sembe ni upi hauna madhara/una madhara kiasi kidogo kiafya???.

Kuna takwimu zishawahi tolewa kwamba watu wa kanda ya ziwa wanakumbwa sana na kwa sababu wanakula sana dona.

Mm binafsi n mpenzi wa dona lakn nina mashaka na jins huu unga unavoandaliwa. Mfano unakuta pale mashneni wanashusha roba kama 100 hv za mahnd ambayo obviously yametiwa sumu ya kuua wadudu.

Halafu wanayasaga kutengeneza unga (hawayaoshi vya kutosha). Je, hii sumu haiwez kuja kumdhuru mlaji?. Kama nmekosea sehemu nikosolewe ila nataka tu kujua ni upi unga mzuri kwa afya kati ya sembe na dona.

EDITED; Je ni unga gan mwngne mzuri ambao naweza kupikia ugali tofaut na sembe na dona?

"I stand to be corrected"
View attachment 1858237
Unga wa ulezi mkuu unapika ugali
 
Back
Top Bottom