Interlacustrine E
JF-Expert Member
- Jun 3, 2020
- 3,396
- 6,023
Basi panya ananizidi akili mimi.Ukitumia lugha ya kistaarabu bado utaeleweka pia
Basi panya ananizidi akili mimi.Ukitumia lugha ya kistaarabu bado utaeleweka pia
Mimi sinunui dona kwenye maduka ya vyakula wala ugali wake kwa mama ntilie. Kwanza wanaweka mahindi yote na yaliyoharibika ambayo unakuta yana sumu kuvu. Sumu kuvu ni hatari inayoongezeka kama walioyanunua waliyahifadhi na wakatia madawa kuzuia wadudu.Sawa ahsante, lakn mm hua nanunua unga sio mahnd. Ndo nataka kujua je hii dona ya kununua n salama?
Suala hapa ni science na fact,mambo ya porojo weka pembeni.Sembe haina fibre.Hili ni suala la sayansi.Kwa sababu sembe haina fibre siyo chakula bora.Unajuwa, kila kitu tunaambiwa kina madhara... Sembe nimekula toka nipo mtoto kupitia uji.. Leo hii mnapotaka kutuaminisha kuwa sembe nayo ni shida sielewi...
Kwani kunenepa ni sign ya mtu kula virutubisho vizuri/ balanced diet au ni ulafi tu?Sembe sio shda,,,ila sembe ina virutubisho vichache kuliko dona na ndo mana nguruwe wanaokula pumba hua wananenepa sana kwa sababu wakati wa kusaga sembe virutubisho vingi huwa vinabakia kwny pumba
Kwani kila chakula kisicho bora kina madhara..!?Suala hapa ni science na fact,mambo ya porojo weka pembeni.Sembe haina fibre.Hili ni suala la sayansi.Kwa sababu sembe haina fibre siyo chakula bora.
Madhara mabaya kabisa ya sembe ni kusababisha ugonjwa wa bawasiri in long run kwa sababu sembe huwa inaganda tumboni kama simenti na kusababisha choo ngumu. Hizi ni fact za sayansi ambazo hazipaswi kupuuzwa kwa porojo.Kwani kila chakula kisicho bora kina madhara..!?
Yaani unatoa unazoziita fact kwa maelezo tu hivi bila hata kaushahidi...!? Nataofautishaje sasa na uwongo mwingine UKIZINGATIA wapo tuliokuwa sembe na hatujaathirika na hiyo bawasili..!?Madhara mabaya kabisa ya sembe ni kusababisha ugonjwa wa bawasiri in long run kwa sababu sembe huwa inaganda tumboni kama simenti na kusababisha choo ngumu.Hizi ni fact za sayansi ambazo hazipaswi kupuuzwa kwa porojo.
Sawa sawa,,,na je hzo nchi zenye akili wanatumia njia gan kuhifadhi mahindi tofauti na kutia madaw?Mimi sinunui dona kwenye maduka ya vyakula wala ugali wake kwa mama ntilie. Kwanza wanaweka mahindi yote na yaliyoharibika ambayo unakuta yana sumu kuvu. Sumu kuvu ni hatari inayoongezeka kama walioyanunua waliyahifadhi na wakatia madawa kuzuia wadudu.
Kama ambavyo Kenya walipiga marufuku kipindi fulani mahindi yetu kisa yana sumu kuvu ndivyo ambavyo mahindi yetu bongo hayawezi uzwa nje nchi zenye akili.
Kwani kunenepa ni sign ya mtu kula virutubisho vizuri/ balanced diet au ni ulafi tu?





nmetaja tu neno kunenepa lakn technically nilimaanisha kunawiriHii article inaelezea jinsi sembe inavyosababisha ukosefu wa choo na hiki hapa ni kipande cha hiyo articleYaani unatoa unazoziita fact kwa maelezo tu hivi bila hata kaushahidi...!? Nataofautishaje sasa na uwongo mwingine UKIZINGATIA wapo tuliokuwa sembe na hatujaathirika na hiyo bawasili..!?
Sijaona katika hilo andiko sembe au dona! Sanasana naona hata ndizi!!!!!!Hii article inaelezea jinsi sembe inavyosababisha ukosefu wa choo na hiki hapa ni kipande cha hiyo articleView attachment 1858338Kusoma article nzima ingia hapa Constipation Diet: Never eat these foods in Constipation
Umeamua kusumbua watu?Hujaona anazungumzia whole grains vs white?Kwako wewe whole grains ni nini na white grains ni nini?Unajua kusoma?Sijaona katika hilo andiko sembe au dona! Sanasana naona hata ndizi!!!!!!
Najua unajifanya mwelevu ila hakuna kitu hapo ni porojo kama nyingineUmeamua kusumbua watu?Hujaona anazungumzia whole grains vs white?Kwako wewe whole grains ni nini na white grains ni nini?Unajua kusoma?
You are no longer worth my time.Najua unajifanya mwelevu ila hakuna kitu hapo ni porojo kama nyingine
Better concentrate na chura achana na masuala ya kielimuYou are no longer worth my time.
🖕🖕🖕Better concentrate na chura achana na masuala ya kielimu
Wao wanapima kiwango cha foreign materials zilizopo kwenye nafaka. Kuna kiwango hakitakiwi kuvukwa mfano water content, mchanga na taka nyingine. Nafaka zinahifadhiwa kwenye mifuko isiyopitisha hewa ili kuzuia wadudu wasipenye na walio ndani wasizaliane. Hiyo mifuko tunayo na ina bei kidogo.Sawa sawa,,,na je hzo nchi zenye akili wanatumia njia gan kuhifadhi mahindi tofauti na kutia madaw?
SEMBE INA TATIZO LA CHOO KUWA KIGUMU KIAFYA SIO NZURI PIA HAINA FIBRE(KAMBA LIDHE) HIVYO NI VIGUMU KUTOA SUPU MWILINI....USILE SEMBE CONTENT YA WANGA NI KUBWA UTAZURU AFYA YAKO!!!!!!Dona zuri ni; Nunua mahindi osha mwenyewe vizuri yaanike na baadaye yasage, saga kiasi ili unga usikae nao kwa muda nrefu sana kabla haujaisha kwani dona likikaa kwa muda mrefu linaharibika
Unachosema ni kweli kabisa, lakini maandalizi ya dona ni magumu sana na hata ukifanikiwa kuuandaa bado kuna Risk ya kupata magonjwa ya kansa nk, kutokana na madawa yanayowekwa katika kuhifadhia hayo mahindi usisahau na Sumu kuvu, njia salama ya kupata dona ni usage mahindi yako uliyolima mwenyewe, sasa ni wangapi ni wakulima wa mahindi huku mijini??.SEMBE INA TATIZO LA CHOO KUWA KIGUMU KIAFYA SIO NZURI PIA HAINA FIBRE(KAMBA LIDHE) HIVYO NI VIGUMU KUTOA SUPU MWILINI....USILE SEMBE CONTENT YA WANGA NI KUBWA UTAZURU AFYA YAKO!!