Soma hapa shujaa anayejificha

Soma hapa shujaa anayejificha

Mkuu, Ngoja nimsaidie Ndugu yangu Lizaboni. Hii hapa chini ndo barua ya Zitto kama ilivyopatikana kupitia kwenye mitandao mbalimbali
ZITTO.jpg

Barua mbona haina mhuri na sahihi tutajuaje kaandika Zitto?
 
Lol! Mi macho yangu bado yana ukungu kuona yajirio katika jukwaa kubwa kama hii.

Huyu Mwigamba yaelekea alikuwa na makubwa anataka kuyatenda ila Mungu akamwadabisha kabla ya!

Haswa!!! Si ametamba kuwa ataivua nguo CDM, anafuata nyayo zile zile za Mtela, Juli et al. Na bado ana wenzake wataendeleza sakata.....Lakini Mungu atawaadibisha.
 
asante kwa kukopi na kupest vp maccm vp leo viroba vimeingia kichwani naona nanaandika pumba hana hoja akili za kuku
 
Mleta mada naye ni mnafiki kama ulivyo wewe. Mbona na yeye anatumia ID Fake?

Wewe umejuaje kama ID yake ni fake? Mimi hii ID ni jina langu, wewe unanifahamu? Kama akili yako ni ya kidaku huwezi badilika, kila kitu utafanya kiudaku tu.
 
GHULA, unahangaika sana kukitetea chama kinachoongozwa na viongozi waongo, wanafiki na wazandiki. Mwigamba yupo sahihi na tuhuma alizotoa ni za kweli

ELIMU YAKO TAFADHALI ! KIPI USICHOKIELEWA KWENYE ANDIKO HILI ? Maana tusije anza KUBISHANA NA MBUMBUMBU .
 
wewe umejuaje kama id yake ni fake? Mimi hii id ni jina langu, wewe unanifahamu? Kama akili yako ni ya kidaku huwezi badilika, kila kitu utafanya kiudaku tu.

by the way, you are not a verified user. Utabaki kuitwa kuwa unatumia id fake
 
mwigamba ni chui ndani ya ngozi ya kondoo. Kwa aliyoyafanya hastahili kuwa mwana cdm hata akiomba msamaha. Ni msaliti kama akina mtela et al. Aende zake kwa mabwana wanaomtumia - ccm kwa maana kazi waliyomtuma ametekeleza.
Na bado, wako mamluki wengi ndani ya cdm

kosa la mwigamba ni dogo sana. Ni kukubali kutumika kama toilet paper ya 'kirusi'.awaombe radhi wanacdm nchi nzima.BINAFSI NAMHESHIMU SANA MWIGAMBA.
 
Mwigamba pia ametusaidia kujua kuwa Dr Slaa na Mnyika ni waongo na hawana uelewa juu ya Katiba yao
Acha kimbelembele,thrid yote ujaze wewe kisa unaandika kwa ushauri wa TUMBO LAKO Kwani ktk ukoo wa panya/ccm hata haumo
 
GHULA, unahangaika sana kukitetea chama kinachoongozwa na viongozi waongo, wanafiki na wazandiki. Mwigamba yupo sahihi na tuhuma alizotoa ni za kweli

Hivi mutani wangu Chabruma inabidi tuandike tena maelezo ya mkuu Ghula kwa lugha ya kijijini kwako ili uweze kuelewa maana yake? Mkuu Ghula amesema kitu ambacho wala hakitetei CDM ila ni kutaka kumsaidia Mkuu Mwigamba. Angalia sasa kwani Mkuu Mwigamba akiendelea na ratiba zake za kukutana na waandishi wa habari zitasaidia nini? Mutani Chabruma lazima tuwe fair kwa namna fulani '' nikiwa na maana angalia madudu ambayo yamo kwenye chama tawala'' ambayo hata wewe mwenyewe na watoto wako ambao wako sekondari wanayaona lkn hujadhubutu kuyaandika. Wimbo na ngoma nzuri kwako mutani ni CDM, ha ha mtaimba sana na mtacheza sana hiyo ngoma!!!
 
Kadri WanaCHADEMA wanavyojitokeza humu jamvini kutetea hoja ya kwanini akina Mbowe waendelee kubakia madarakani ndivyo wanavyozidi kuipa nguvu hoja ya MAGAMBA ya kwanini CHADEMA wasiaminiwe kupewa Nchi.

Hivi tunaposema kwamba CHADEMA itakufa bila ya akina Mbowe hii inaashiria nini? Hii inaashiria kuwa CHADEMA kama taasisi bado haijawa imara kwa maana ya kujenga misingi, miundo na mifumo thabiti ya namna kupata viongozi bora wa kuaminika, namna ya kukabiliana na changamoto mbalimbali za kisiasa instead imejengwa kuwa Taasisi dhaifu ambayo political survival yake inategemea uwepo wa Viongozi flani tu wachache.

Sasa tuangalie muda Uongozi wa sasa umekuwa madarakani na kasi yake katika kukijenga Chama kama Taasisi imara,Hivi tujiulize ni sahihi kuendelea kuwa Uongozi huu ambao kasi yake kukijenga Chama imekuwa ni ya kusua sua au tunahitaji Uongozi mpya uimarishe mifumo ya Chama na kukifanya kuwa Chama kisichotegemea watu wachache kutimiza malengo yake mbalimbali yana hopefully kiwe tayari kuing'oa CCM madarakani 2015.

Tech Wiz,

Suala la uchaguzi ni mchakato wa kidemokrasia

Wanaojadili kuhusu term limits hawajengi hoja kuonyesha ni namna gani ukosefu wa ukomo wa uongozi ndani ya vyama unaua demokrasia.

Chama cha Congress cha nchini India 'The Largest democracy" in the world hakijawahi kuwa na ukomo wa Uongozi.Sonia Gandhi ameongoza Congress kwa muda mrefu

Nchini Afrika Kusini chama cha ANC hakina term limits.

Chama cha Labour nchini Ireland kimeweka kigezo cha kushindwa uchaguzi kama kigezo cha kubadili uongozi

Prof.Petracca wa Irvene huko Canada amejadilli kwa kina hoja hii na kukusanya analysisi ya scholars wengi kuhusu term limits na demokrasia

Term limits pia inaweza kuwa ni kigezo cha kuua democracy maana unamnyima mgombea na wapiga kura haki ya kumchagua wanayemtaka

Playing devil's advocate side:Mbona tunakubali term limits kwa urais halafu kwa wabunge hatupigi kelele?

Nchini Marekani uchaguzi uliopita Mitt Romney alibeba ajenda ya analyst Denmit ya kutaka bunge la Congress liwekewe term limit kupitia constitutional amendments.

Mapendekezo ni house of Reps iwe na term 3 yaani 6 years na Senate iwe na 2 terms yaani 12 years

Sasa tukirudi kwa suala la CHADEMA kuhusu term limit kama inavyoshupaliwa hapa basi kuna uwezekano wa kufanyika kama ilivyokua kwa Vladmir Putin kule Russia.Alikua Rais for 10 years kisha akashuka na kuwa powerful PM kabla ya kurudi tena kugombe urais.Sasa hapo malengo na dhamira ya kubadili uongozi imetimia?

So the really Democracy ni uchaguzi ndio utakaoamua
 
Japokuwa siku zote kikulacho ki nguoni mwako , lakini tutaendelea kuondoa chawa mwilini kwa kutumia mikono yetu .
 
Ulipaswa pia kumpongeza kwa yale aliyoeleza

Hakutumwa na chama changu kufanya alichofanya bali kafanya kwa matakwa ya viongozi wa chama chako,nikupongeze wewe na chama chako kwa kutuwekea mamluki ndani ya chama chetu"hongereni mkuu"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom