Soma hapa shujaa anayejificha

Soma hapa shujaa anayejificha

Thibitisha kama barua iliyovuja huku ilitoka kwenye ofisi ya katibu mkuu.Hili lilishajibiwa humu mkaambiwa mlete vielelezo kuwa barua hiyo ilitumwa kwa mkono au kwa njia ipi.Hamkuleta mnapiga majungu tu
Mkuu Ben, kwanza nakuhurumia sana kwa jinsi unavyojaribu kupuliza manukaro kwenye kinyesi. Ukweli ni kuwa barua ile ilivujishwa kwenye ofisi ya Katibu Mkuu wako kwa madhumuni anayoyajua. Hata Zito alishangaa sana kuona jinsi ile barua ilivyotundikwa humu JF. Ben, wewe unajua kuwa viongozi wanaowasiliana kwa masuala ya kiofisi ni Mbowe, Mnyika na Dr Slaa. Wengine inakuwa ngumu sana na hawaaminiwi. Ndo maana Dr Slaa anavyosafiri ofisi anamwachia John Mnyika na si Zitto Kabwe.
 
Hivi na wewe hili ndio jina lako halisi? Wacha uoga na wewe jitambulishe Mwigamba akutambuwe ajuwe ni rafiki yangu fulani ananipa makavu, otherwise tofauti ya wewe na Mwigamba ni ndogo sana.

umenena.
 
Wanahabari wetu Tanzania bado wana safari ndefu sana ya hatimaye kujiita Wanahabari.Taaluma ya Habari Tanzania bado iko chini sana na mabadiliko makubwa yanahitajika kufanyika ili kunyanyua kiwango cha fani hii Tanzania.Hivi huyu anayejiita Mwandishi wa habari ambaye anadai ametumia muda mrefu kutafakari na kuchimba chimba habari huku na kule hatimaye kuibuka na article yenye uchambuzi hafifu kiwango hiki kwa kweli nashindwa nimuweke katika kundi lipi kama ni la Wanahabari wasio na upeo mkubwa wa fani zao au lile kundi la Wanahabari wachumia tumbo wanao andika habari ili kuwafurahisha wale wanaowaweka mjini?Vyovyote vile jibu litakavyokuwa bottom-line Watanzania wanakosa haki zao za kupata taarifa sahihi na za ukweli kuhusu kile kinachoendelea ndani ya Nchi yao kutoka kwa hawa Wanahabari.Sasa nimkumbushe tu huyu Mwanahabari kuwa alichofanya Mwigamba hakina tofauti na alichofanya Edward Snowden wa Marekani.Tusikae kujadili ID feki ya Mwigamba bali tujikite katika HOJA zake,Watz ebu tuwe serious wakati mwingine
 
Nilijiuliza swali hili bila majibu hasa nilipokuwa nakumbuka Mwigamba aliyezikosoa mamlaka kwa kalamu yake leo anamwogopa Mh Mbowe hadi ana kana jina lake? Hitimisho langu lilibaki kuwa pengine mimi Mbowe namchukulia ndivyo sivyo!
 
Wanahabari wetu Tanzania bado wana safari ndefu sana ya hatimaye kujiita Wanahabari.Taaluma ya Habari Tanzania bado iko chini sana na mabadiliko makubwa yanahitajika kufanyika ili kunyanyua kiwango cha fani hii Tanzania.Hivi huyu anayejiita Mwandishi wa habari ambaye anadai ametumia muda mrefu kutafakari na kuchimba chimba habari huku na kule hatimaye kuibuka na article yenye uchambuzi hafifu kiwango hiki kwa kweli nashindwa nimuweke katika kundi lipi kama ni la Wanahabari wasio na upeo mkubwa wa fani zao au lile kundi la Wanahabari wachumia tumbo wanao andika habari ili kuwafurahisha wale wanaowaweka mjini?Vyovyote vile jibu litakavyokuwa bottom-line Watanzania wanakosa haki zao za kupata taarifa sahihi na za ukweli kuhusu kile kinachoendelea ndani ya Nchi yao kutoka kwa hawa Wanahabari.Sasa nimkumbushe tu huyu Mwanahabari kuwa alichofanya Mwigamba hakina tofauti na alichofanya Edward Snowden wa Marekani.Tusikae kujadili ID feki ya Mwigamba bali tujikite katika HOJA zake,Watz ebu tuwe serious wakati mwingine
Mkuu, hakika umeandika jambo la msingi sana. Wahusika wamekusikia
 
Nilijiuliza swali hili bila majibu hasa nilipokuwa nakumbuka Mwigamba aliyezikosoa mamlaka kwa kalamu yake leo anamwogopa Mh Mbowe hadi ana kana jina lake? Hitimisho langu lilibaki kuwa pengine mimi Mbowe namchukulia ndivyo sivyo!
Mbowe ni hatari zaidi ya mnyama simba tena kuliko hata hiyo mamlaka unayoisema. Mwigamba hakutaka yamtokee ya Chacha Wangwe
 
Mkuu Ben, kwanza nakuhurumia sana kwa jinsi unavyojaribu kupuliza manukaro kwenye kinyesi. Ukweli ni kuwa barua ile ilivujishwa kwenye ofisi ya Katibu Mkuu wako kwa madhumuni anayoyajua. Hata Zito alishangaa sana kuona jinsi ile barua ilivyotundikwa humu JF. Ben, wewe unajua kuwa viongozi wanaowasiliana kwa masuala ya kiofisi ni Mbowe, Mnyika na Dr Slaa. Wengine inakuwa ngumu sana na hawaaminiwi. Ndo maana Dr Slaa anavyosafiri ofisi anamwachia John Mnyika na si Zitto Kabwe.

Hapo kwenye blue,
Hebu iweke tena hiyo barua tuione, au weka link tuione..!!
Au labda kama kawaida hiyo barua 'itakataa' kuwekwa hapa kwa mara ya pili..!!!
 
Hivi na wewe hili ndio jina lako halisi? Wacha uoga na wewe jitambulishe Mwigamba akutambuwe ajuwe ni rafiki yangu fulani ananipa makavu, otherwise tofauti ya wewe na Mwigamba ni ndogo sana.

Mkuu nilitaka nimwambie hivyo. japo ameandika hoja ya msingi na yenye kumgusa Mwigamba, angekuja ki vetified ndo angemnying'inyesha kabisa
 
Mwigamba hana lolote anatumiwa tu angekua ana hoja za msingi angewasilisha kwenye vikao.
 
Hapo kwenye blue,
Hebu iweke tena hiyo barua tuione, au weka link tuione..!!
Au labda kama kawaida hiyo barua 'itakataa' kuwekwa hapa kwa mara ya pili..!!!

Mkuu, Ngoja nimsaidie Ndugu yangu Lizaboni. Hii hapa chini ndo barua ya Zitto kama ilivyopatikana kupitia kwenye mitandao mbalimbali
ZITTO.jpg
 
Hivi na wewe hili ndio jina lako halisi? Wacha uoga na wewe jitambulishe Mwigamba akutambuwe ajuwe ni rafiki yangu fulani ananipa makavu, otherwise tofauti ya wewe na Mwigamba ni ndogo sana.
Ndugu Matola, mbona mashujaa waoga wako wengi humu; kama kaandika habari za kweli kuhusu chama kwa kutumia Id fake, mbona hayuko pekeyake! kama CDM wangekuwa objective ile issue wangepotezea tu kwa sababu "Mkulima Maskini" anaweza kuwa mtu yeyote yule mwenye mapenzi mema kwa ajili ya CDM kama Mwigamba. Mwigamba alikosea lakini kwa ukweli aliouzungumza CDB tubadilike!
 
Kadri WanaCHADEMA wanavyojitokeza humu jamvini kutetea hoja ya kwanini akina Mbowe waendelee kubakia madarakani ndivyo wanavyozidi kuipa nguvu hoja ya MAGAMBA ya kwanini CHADEMA wasiaminiwe kupewa Nchi.Hivi tunaposema kwamba CHADEMA itakufa bila ya akina Mbowe hii inaashiria nini?Hii inaashiria kuwa CHADEMA kama taasisi bado haijawa imara kwa maana ya kujenga misingi,miundo na mifumo thabiti ya namna kupata viongozi bora wa kuaminika,namna ya kukabiliana na changamoto mbalimbali za kisiasa instead imejengwa kuwa Taasisi dhaifu ambayo political survival yake inategemea uwepo wa Viongozi flani tu wachache.Sasa tuangalie muda Uongozi wa sasa umekuwa madarakani na kasi yake katika kukijenga Chama kama Taasisi imara,Hivi tujiulize ni sahihi kuendelea kuwa Uongozi huu ambao kasi yake kukijenga Chama imekuwa ni ya kusua sua au tunahitaji Uongozi mpya uimarishe mifumo ya Chama na kukifanya kuwa Chama kisichotegemea watu wachache kutimiza malengo yake mbalimbali yana hopefully kiwe tayari kuing'oa CCM madarakani 2015.
 
Kadri WanaCHADEMA wanavyojitokeza humu jamvini kutetea hoja ya kwanini akina Mbowe waendelee kubakia madarakani ndivyo wanavyozidi kuipa nguvu hoja ya MAGAMBA ya kwanini CHADEMA wasiaminiwe kupewa Nchi.

Hivi tunaposema kwamba CHADEMA itakufa bila ya akina Mbowe hii inaashiria nini? Hii inaashiria kuwa CHADEMA kama taasisi bado haijawa imara kwa maana ya kujenga misingi, miundo na mifumo thabiti ya namna kupata viongozi bora wa kuaminika, namna ya kukabiliana na changamoto mbalimbali za kisiasa instead imejengwa kuwa Taasisi dhaifu ambayo political survival yake inategemea uwepo wa Viongozi flani tu wachache.

Sasa tuangalie muda Uongozi wa sasa umekuwa madarakani na kasi yake katika kukijenga Chama kama Taasisi imara,Hivi tujiulize ni sahihi kuendelea kuwa Uongozi huu ambao kasi yake kukijenga Chama imekuwa ni ya kusua sua au tunahitaji Uongozi mpya uimarishe mifumo ya Chama na kukifanya kuwa Chama kisichotegemea watu wachache kutimiza malengo yake mbalimbali yana hopefully kiwe tayari kuing'oa CCM madarakani 2015.
 
Lol! Mi macho yangu bado yana ukungu kuona yajirio katika jukwaa kubwa kama hii.

Huyu Mwigamba yaelekea alikuwa na makubwa anataka kuyatenda ila Mungu akamwadabisha kabla ya!
 
uko sahihi kabisa mkuu. Big up sana.

Hata mimi nilishangaa sana mwigamba alivyobadilika na kuanza kutufuchalia majina ya viongozi wetu na chama.yaani mpaka sasa hivi sijaamini.na lugha anayozungumza ni yule "kirusi".

NADHANI HIKI KIRUSI KIMEAPA KUFA NA CDM. KINA CHUKI KALI NA LEMA. SWALI WANACDM TUNAJIULIZA KITALELEWA MPAKA LINI
?????

NAKISHAURI KIACHE KUPAMBANA NA CDM WAKATI KIPO NDANI.WANACDM WAMESHAMJUA NA WANAKILAANI SANA.
 
Tumshukuru Mwigamba kwa kuibua hoja zile maana wengi tusingejua kuwa katiba ya CHADEMA imechakachuliwa au chama hakina akaunti yenye fedha hata moja

Mwigamba pia ametusaidia kujua kuwa Dr Slaa na Mnyika ni waongo na hawana uelewa juu ya Katiba yao

We ni kimeta umetumwa toka Lumumba kuchafua hali ya hewa
Kusimama mbele ya kundi la watoa roho na kuwaambia ukweli ni ushujaa wa hali ya juu.

Mwigamba ana roho saba kama paka, hafi mara moja.....

... RAMBIRAMBI kwanza . . .

Hivi huyu jamaa RambiRambi mpaka leo hajakabidhi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom