mkuu ni kawaida kitu kipya au muonekano mpya kuuzoea ni changamoto, hapa tuvumilie tu soon tutaona iko kawaida tuWakuu,
Mimi hii app sijaipenda bora hiyo iliyokuwa ya zamani nimeona tangazo la app mpya ya JamiiForums nikaingia play store fasta nikaiupdate lakini kilichotokea bora hiyo ya zamani. Niwaombe uongozi wa JamiiForums waiangalie upya sijaipenda kwakweli,sijui wadau nyie mnaionaje kwanzia mazingira yake, rangi yake blue hovyo kabisa yani.
Karibuni
Notification utazikuta pmNotifications bado ni shida
Inabidi wafanye utatuzi wa hili aiseee.Mwenyewe nimechoka kila nikiingia sioni notifications kabisaaa!!
Kumbe tuko wengi Kaka Masai. Mie pia sijaielewa kama.Aseeh mimi nimerudi app ya kihenga hii mpya siiwezi UI yake sijaielewa kabisa.
Mabadiliko yakitokea uniambie hata PM Dada yangu ili iwe rahisi kujua, leo nitaadimika humu.Kumbe tuko wengi Kaka Masai. Mie pia sijaielewa kama.
Hiyo ya kihenga tuliyoizowea inapatikana wapi ikiwa umesha update imekuja hii ya kisasa?
Manga ML pita huku kaka.
Yaani bado sababu mie pia nilikimbilia ku update nikidhania nitapata notifications zangu ila bado holaa zipo za juzii.Mabadiliko yakitokea uniambie hata PM Dada yangu ili iwe rahisi kujua, leo nitaadimika humu.
Nime update ili niweze kupata notifications kumbe hali bado iko vile vile
Ni kwa tulio wengi mdogo wangu na mie nikiwepo.Naomba kujua kwa nini notification haziji? Ni kwangu tu au kwa kila sim?
Sawa Dada yangu.Yaani bado sababu mie pia nilikimbilia ku update nikidhania nitapata notifications zangu ila bado holaa zipo za juzii.
Usijali mdogo wangu nitakufahamisha..
Pole ungesubiri kwanza.Nilisema si-update kwanza, notifications zikagoma kuanzia App ya zamani.
Nikasema ngona ni update naweza kutatua tatizo, lakini tatizo bado lipo pale pale.
Bila notifications sioni Raha ya JF kabisa
Tunaomba option ya block iwe block kweli kweli, usimuone mtu kabisa. Una mblock mtu lakini ana uwezo wa kukutumia PM, sio sahihi!Asante kwa pongezi mkuu. Pole kwa changamoto hiyo.
Jaribu kujiondoa tena leo kisha utupatie mrejesho kama bado utaendelea kuzipokea..
Dah, mimi haziji kitambo sana karibia wk mbili sasa. Napata shida kweli kutafuta replies kama hvNi kwa tulio wengi mdogo wangu na mie nikiwepo.
Inabidi utumie Web hiyo ndio inakila kitu na Notifications zako zote utazikuta huko.Dah, mimi haziji kitambo sana karibia wk mbili sasa. Napata shida kweli kutafuta replies kama hv