Solo Thang hapa kaka uliimba

Kila kitu kinaenda na nyakati...alikuwa mkali sana ulamaa.
 
Huyo jamaa alikuwa shida sana, ila sio yeye tu in short kipindi bongofleva inaanza kulikuwa kuna vichwa vinaandika. Nilikuwa nawakubali sana Profesa Jay, Solo Thang na Jay Mo
 
Back
Top Bottom