Abuu Kauthar
JF-Expert Member
- Jul 10, 2011
- 3,950
- 5,692
No mkali mpaka sasa " Msafiri kondo"Kila kitu kinaenda na nyakati...alikuwa mkali sana ulamaa.
Miss tanzania one of the best ama kweliUkimaliza kusikiliza huo, tafuta na "Miss Tanzania" Bonge moja la wimbo, japo media wanaliogopa hataree
Nyimbo nzuri saaana lakini ndo hivyo wabongo wanapenda kokoroUkimaliza kusikiliza huo, tafuta na "Miss Tanzania" Bonge moja la wimbo, japo media wanaliogopa hataree
Ana kijungu matata kiuno nyanya masaluUkimaliza kusikiliza huo, tafuta na "Miss Tanzania" Bonge moja la wimbo, japo media wanaliogopa hataree
"Mi sio Mfalme ****,Mi sio mgambo Sele"
By solo thang
we nenda kasikilize Singeli utatikisa mpaka Makalio.Hamna kitu hapo kelele tupu wimbo huwezi hata kutingishwa kidole cha mguu