mkuu ungetyafuta hizo taarifa kwanza afu ndo uje uweke uzi huu,kichwa cha habari hapo juu kimeonesha una uhakika na tukio kumbe na we mwenyewe unaomba kujuzwa lol! WATANZANIA tuna kazi kubwa kweli kweli!
Mbeye? Ni huko Congo?
Soko la Uyole mkoani Mbeya linateketea kwa moto, jitahada za kuuzima zinaendelea, chanzo cha moto huo bado hakijajulikana
Sugu siku hizi kawa fire brigade?wapii sugu??
wapii sugu??