ninapoandika soko la uhindini ambalo liko katikati ya jiji la mbeya linaungua moto, haijulikani chanzo cha moto ni nini, lakini hali ni mbaya kwani huenda moto ukaathirimaduka yaliyo katikati ya jiji hili
Dr slaa, mheshimiwa rais wetu uliporwa ushindi nakuona uko hapa,tafadhali mwamshe mbunge wako mr. Sugu aende kule uhindini hali ni mbaya, nafarijika kumbe uko macho mpaka saa izi ukiangalia matatizo yetu,mwenzako kikwete saa izi kalala na huenda hajui kinachoendelea hapo mbeya
Ndio maana izi thread tumezigawa, kuna za kisiasa, uchaguzi, matukio ya kijamii ... inaonyesha wewe hujui kwa nini tunazigawanya. Habari za moto ni matukio, here we discuss politics and election, you can make any connection you want, but it shows you have lack of substance, peace no hate, just to educate you
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.