Soko la Tegeta Nyuki lateketea kwa moto

Soko la Tegeta Nyuki lateketea kwa moto

Babumawe

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2014
Posts
2,585
Reaction score
2,666
Soko la Tegeta Nyuki linawaka moto muda huu. Magenge, maduka na vibanda vinaungua si mchezo aisee Mungu atunusuru na haya majanga.

Chanzo cha moto huo inasadikika kuwa ni hitilafu ya umeme
Inst-image-24.jpeg


Pia soma: Soko la Kariakoo lateketea kwa moto


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usiku wa Manane huwa na mambo mengi sanaa
Wengine wana kufa na kuna wanaozaliwa.

Hasara iliyoje hii?
Mali iliyochumwa kwa miaka inaenda kuteketea ndani ya sekunde daah poleni sanaa mliofikwa na huo mkasa.

Ila hakuwepo hata nabii ambaye angetabiri hiyo Ajali?

Kuna haja kitengo cha maafa kiwe kinawapa hata kifuta machozi
 
Wenye update naombeni mtujuze...
Poleni kwa wafanyabihashara wa hapo🙏🏾
 
Duh! MUNGU awatie nguvu

Sent from my SM-G532F using Tapatalk
 
Poleni sana ndg maana si jambo rahisi hasa kwa hali ya maisha na uchumi kwa ujumla na wale wenye mikopo yaan daaah..!
 
Back
Top Bottom