Babumawe
JF-Expert Member
- Sep 12, 2014
- 2,585
- 2,666
Soko la Tegeta Nyuki linawaka moto muda huu. Magenge, maduka na vibanda vinaungua si mchezo aisee Mungu atunusuru na haya majanga.
Chanzo cha moto huo inasadikika kuwa ni hitilafu ya umeme
Pia soma: Soko la Kariakoo lateketea kwa moto
Sent using Jamii Forums mobile app
Chanzo cha moto huo inasadikika kuwa ni hitilafu ya umeme
Pia soma: Soko la Kariakoo lateketea kwa moto
Sent using Jamii Forums mobile app