Sasa kiongozi ushauri wako ni nini! Kimfaacho mtu chake. Unataka wapate nauli kwa kuiba au kujiuza mitaani?Vijana wauza vitu bei chee baada ya kukosa nauli ili warudi kwao baada ya kumaliza mitihani yao.wengine toka jana na wengine leo ndo wamemaliza.nafuu kwa watunza fedha.