Soko la sakiti mbovu za simu

KMkhalid

Member
Feb 26, 2018
71
107
Habari zenu wakuu.

Naomba msaada mwenye kujua wapi naeza kuuza sakiti mbovu za simu ( smartphones na za kawaida ) kwa Dar es Salaam.
 
Nenda Kariakoo kwa mafundi simu utauza bila wasiwasi
 
Back
Top Bottom