Soko la dada zetu wa usiku lavamiwa.

uporoto01

JF-Expert Member
May 23, 2008
4,700
1,415
Katika miaka ya karibuni kumekuwa na ongezeko kubwa la dada wanaojiuza usiku kutoka nchi jirani katika miji yote mikubwa Tanzania.Ukienda sehemu yoyote ya starehe usiku na kuongea na wadada maongezi ya kawaida tu utagundua wengi wao wanatokea Kenya na sasa hivi Warundi wameongezeka sana.Ukiacha wachache wanao banana na majirani zetu wengi wa dada zetu wameishia kuvizia wateja barabarani.Gesti nyingi kariakoo kuna Warundi wanaopanga kwa muda mrefu.Haya ni matokeo ya utandawazi na soko moja la Afrika Mashariki.
javascript:void(0)span.jajahWrapper { font-size:1em; color:#B11196; text-decoration:underline; } a.jajahLink { color:#000000; text-decoration:none; } span.jajahInLink:hover { background-color:#B11196; }
 
Mkuu Uporoto wewe ni mteja wao au? Umeyajuaje hayo yote? hadi Utaifa!!

Huenda amefanya uchunguzi. Lakini si amesema ukienda kwenye sehemu za starehe? Mbona hilo liko wazi tu?

Wabongo wamezidiwa katika soko hili ni Credit kwa dada zetu wamejibidisha kwenye shughuli nyingine halali. Bravo
 
Duh! hata kwenye soko hili tunazidiwa ujanja? kaazi kweli.

Hahahaaaaaaaa. Doublediff umenifurahisha!!! Unajua watanzania waelewe kuwa globalisation ndio hiyo na kama walifikiri kunakujitayarisha basi tena manake wale wetu wa 'yes, no' language ndo wanasukumwa nje ya soko taartibu na wajuao lugha ya queen, manake kama anamaster queen language( added advantage), hata price tag inapanda especially for educated people, middle and high class and foreigners customers, ambao wanaona watakuwa wamepata their similar class ambao wanaweza kumatch vizuri!!!!
 
Huenda amefanya uchunguzi. Lakini si amesema ukienda kwenye sehemu za starehe? Mbona hilo liko wazi tu?

Wabongo wamezidiwa katika soko hili ni Credit kwa dada zetu wamejibidisha kwenye shughuli nyingine halali. Bravo

Wangekosekana barabarani ningekubaliana nawe.
 
Hahahaaaaaaaa. Doublediff umenifurahisha!!! Unajua watanzania waelewe kuwa globalisation ndio hiyo na kama walifikiri kunakujitayarisha basi tena manake wale wetu wa 'yes, no' language ndo wanasukumwa nje ya soko taartibu na wajuao lugha ya queen, manake kama anamaster queen language( added advantage), hata price tag inapanda especially for educated people, middle and high class and foreigners customers, ambao wanaona watakuwa wamepata their similar class ambao wanaweza kumatch vizuri!!!!

Nilishangaa huduma kama hii ambayo haihitaji kuisomea tunazidiwa na majirani katika soko la ajira Afrika Mashariki kuanzia july itakuwaje?
 
Tatizo letu waTanzania ni kuthamini kigeni kuliko chako, hii ni kasumba ya muda mrefu, huwa mtu kujiona kupanda chati anapo tamka kuwa ana rafiki wa kike Mkenya, Mnyarwanda, Mzungu na kadhalika; na hili liko pia kwa dada zetu kuona kwenda na mgeni ni kupanda ngazi. Kwani hili liko wazi kabisa wala sio kusifia Utanzania lakini ukitaka penzi lililo kamilika chukua Mtanzania.
 
katika miaka ya karibuni kumekuwa na ongezeko kubwa la dada wanaojiuza usiku kutoka nchi jirani katika miji yote mikubwa tanzania.ukienda sehemu yoyote ya starehe usiku na kuongea na wadada maongezi ya kawaida tu utagundua wengi wao wanatokea kenya na sasa hivi warundi wameongezeka sana.ukiacha wachache wanao banana na majirani zetu wengi wa dada zetu wameishia kuvizia wateja barabarani.gesti nyingi kariakoo kuna warundi wanaopanga kwa muda mrefu.haya ni matokeo ya utandawazi na soko moja la afrika mashariki.
javascript:void(0)span.jajahwrapper { font-size:1em; color:#b11196; text-decoration:underline; } a.jajahlink { color:#000000; text-decoration:none; } span.jajahinlink:hover { background-color:#b11196; }

bei zipoje sokoni? Nadhani hili la msingi....
 
Tatizo letu waTanzania ni kuthamini kigeni kuliko chako, hii ni kasumba ya muda mrefu, huwa mtu kujiona kupanda chati anapo tamka kuwa ana rafiki wa kike Mkenya, Mnyarwanda, Mzungu na kadhalika; na hili liko pia kwa dada zetu kuona kwenda na mgeni ni kupanda ngazi. Kwani hili liko wazi kabisa wala sio kusifia Utanzania lakini ukitaka penzi lililo kamilika chukua Mtanzania.

Nakubaliana nawe kwa hili.
 
bei zipoje sokoni? Nadhani hili la msingi....

Bei zinategemea sehemu ulipo Buguruni/Temeke/Sinza/magomeni/Kinondoni-mara moja elfu 5-10,usiku mzima 20-30.Masai/Bils/Q-bar/Las vegas mara moja 15-20,usiku mzima 30-50.Hoteli kubwa Sea cliff/Movenpick/kempinski- mara moja 30-50 usiku mzima 70-100.Muonekano wako na kama mumekunywa na kula nae pia zinaweza kukupunguzia bei.Bei hizi ni kwa wa Afrika Mashariki ukihitaji wachina/warusi(ambao ndio wengi sokoni kwa muda huu)kutoka nje bei inakuwa juu kidogo lakini pia inategemea ushawishi wako.
 
Bei zinategemea sehemu ulipo Buguruni/Temeke/Sinza/magomeni/Kinondoni-mara moja elfu 5-10,usiku mzima 20-30.Masai/Bils/Q-bar/Las vegas mara moja 15-20,usiku mzima 30-50.Hoteli kubwa Sea cliff/Movenpick/kempinski- mara moja 30-50 usiku mzima 70-100.Muonekano wako na kama mumekunywa na kula nae pia zinaweza kukupunguzia bei.Bei hizi ni kwa wa Afrika Mashariki ukihitaji wachina/warusi(ambao ndio wengi sokoni kwa muda huu)kutoka nje bei inakuwa juu kidogo lakini pia inategemea ushawishi wako.

Inaonekana wewe ni mtaalamu wa soko hili hahaha!
 
uporoto si haba umeachana na paying for sex...............but waonekana bado upo katika anga zao sana. ukiweza badili na life style yako uepukane na kundi hili kabisa kabisa.
 
uporoto si haba umeachana na paying for sex...............but waonekana bado upo katika anga zao sana. ukiweza badili na life style yako uepukane na kundi hili kabisa kabisa.

Nimeoa mwaka jana na sijanunua huduma hii muda mrefu lakini ni mpenzi wa kumbi za starehe na marafiki zangu,inakuwa vigumu kutoenda, kina dada niliokuwa mteja wao wanashangaa mabadiliko yangu na ndio wanaonipa hizi data.
 
Back
Top Bottom