Soko jipya la Mwanjelwa ni bovu

Soko jipya la Mwanjelwa ni bovu

Nini chanzo cha mgogoro na kwa nini mkandarasi afukuzwe? Jengo limejengwa chini ya kiwango wenye macho wameona na kusema. Mkandarasi kaambiwa akimbie ili afunike kombe mwarabu apite wewe unasema kafukuzwa! Siku jengo litakapoporomoka ndipo utakapokumbuka verbal/written evidence tunazozitoa sasa. Je unajua kuwa hata miundo mbinu ya moto iliyotakiwa kuwekwa katika jengo hilo imehujumiwa?

hahaahaa, sasa hivi stori imekuwa kukimbia tena? tuache kuanzisha mada bila kujua kitu kwa undani, ungepiga hata simu tuu kwa wahusika wangekupa information za maana. mkandarasi hajakimbia, yupo.
 
Back
Top Bottom