Soko jipya la Mwanjelwa ni bovu

Soko jipya la Mwanjelwa ni bovu

kisugujira

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2012
Posts
774
Reaction score
200
WanaJF,

Usimamizi mbovu wa ujenzi wa barabara na majengo mengi hapa nchini unaligharimu Taifa hili huku watu wachache ambao ni wezi wakinufaika!

Soko la Mwanjelwa mpaka sasa halijafunguliwa kutokana na kujengwa kwa kiwango cha chini kulikosababisha kuta kupasuka na kutoa nyufa hata kabla halijaanza kutumika ikiwa ni baada ya mamilioni ya walipa kodi kutumika hovyo na kuwanufaisha wasimamizi wezi!

Kwa nini wezi hawa hawakamatwi na kushitakiwa?
 
WanaJF,

Usimamizi mbovu wa ujenzi wa barabara na majengo mengi hapa nchini unaligharimu Taifa hili huku watu wachache ambao ni wezi wakinufaika!

Soko la Mwanjelwa mpaka sasa halijafunguliwa kutokana na kujengwa kwa kiwango cha chini kulikosababisha kuta kupasuka na kutoa nyufa hata kabla halijaanza kutumika ikiwa ni baada ya mamilioni ya walipa kodi kutumika hovyo na kuwanufaisha wasimamizi wezi!

Kwa nini wezi hawa hawakamatwi na kushitakiwa?


Tangu lini mwizi akajikamata mwenyewe?!
 
sasa utashangaa limewaka moto hata kabla ya kuanza kutumika !
 
Hiyo ndio kazi ya mbunge wa Mbeya kuhakikisha kuwa wahusika wanakamatwa na kufikishwa kunakostahili; mwambieni Sugu alivalie njuga suala hili kama yeye hajahusika!!!
 
inauma sana....soko linamiaka zaidi ya mitatu haliishi...aibu sana ....mbeya tulianzisheni jamani hadi kieleweke
 

Attachments

  • 1403875775052.jpg
    1403875775052.jpg
    45.4 KB · Views: 281
inauma sana....soko linamiaka zaidi ya mitatu haliishi...aibu sana ....mbeya tulianzisheni jamani hadi kieleweke

Huyo jamaa anayejenga ghorofa la chuma hapo pembeni ya soko lenye nyufa ni kiboko! Ametoa mfano hai kwa serikali ya mkoa wa mbeya kuwa wangejenga kitu kama hicho anachokiporomosha!
 
WanaJF,

Usimamizi mbovu wa ujenzi wa barabara na majengo mengi hapa nchini unaligharimu Taifa hili huku watu wachache ambao ni wezi wakinufaika!

Soko la Mwanjelwa mpaka sasa halijafunguliwa kutokana na kujengwa kwa kiwango cha chini kulikosababisha kuta kupasuka na kutoa nyufa hata kabla halijaanza kutumika ikiwa ni baada ya mamilioni ya walipa kodi kutumika hovyo na kuwanufaisha wasimamizi wezi!

Kwa nini wezi hawa hawakamatwi na kushitakiwa?

nyufa ndio jengo linakomaa vizuri halitaanguka tena
 
nyufa ndio jengo linakomaa vizuri halitaanguka tena

we unafikiri kuna nyufa basi ndugu yangu, lile jengo halijamaliza kujengwa kulikuwa na mgogoro na mkandarasi wa kwanza aliyefukuzwa kazi, sasa jamaa hapa anakuja na maneno ya kijiweni eti jengo lina nyufa, bile evidence!
 
we unafikiri kuna nyufa basi ndugu yangu, lile jengo halijamaliza kujengwa kulikuwa na mgogoro na mkandarasi wa kwanza aliyefukuzwa kazi, sasa jamaa hapa anakuja na maneno ya kijiweni eti jengo lina nyufa, bile evidence!

kuna habari nyingi za kijiweni kuhusu hili soko.... mi pia niliskia eti limepinda linatakiwa kubomolewa lijengwe upya
 

Attachments

  • 1403933619023.jpg
    1403933619023.jpg
    58.1 KB · Views: 133
WanaJF,

Usimamizi mbovu wa ujenzi wa barabara na majengo mengi hapa nchini unaligharimu Taifa hili huku watu wachache ambao ni wezi wakinufaika!

Soko la Mwanjelwa mpaka sasa halijafunguliwa kutokana na kujengwa kwa kiwango cha chini kulikosababisha kuta kupasuka na kutoa nyufa hata kabla halijaanza kutumika ikiwa ni baada ya mamilioni ya walipa kodi kutumika hovyo na kuwanufaisha wasimamizi wezi!

Kwa nini wezi hawa hawakamatwi na kushitakiwa?

Inabidi ma engineer waliosimamia wasimamishwe kazi mara moja na wachukuliwe hatua za kisheria kama usemayo ni ukweli.

Hao ma engineer watakuwa chadema, maana hata Ufipa kuna nyufa zimejitokeza.
 
Inabidi ma engineer waliosimamia wasimamishwe kazi mara moja na wachukuliwe hatua za kisheria kama usemayo ni ukweli.

Hao ma engineer watakuwa chadema, maana hata Ufipa kuna nyufa zimejitokeza.

Hapana ma engineer ni wa ccm...ndo wanaoharibu cku zote.... Ufipa ni lipi hilo@Faizafoxy
 
Inabidi ma engineer waliosimamia wasimamishwe kazi mara moja na wachukuliwe hatua za kisheria kama usemayo ni ukweli.

Hao ma engineer watakuwa chadema, maana hata Ufipa kuna nyufa zimejitokeza.

Kwani ujenzi wa soko ulikuwa unasimamiwa na CHADEMA?
 
we unafikiri kuna nyufa basi ndugu yangu, lile jengo halijamaliza kujengwa kulikuwa na mgogoro na mkandarasi wa kwanza aliyefukuzwa kazi, sasa jamaa hapa anakuja na maneno ya kijiweni eti jengo lina nyufa, bile evidence!
Nini chanzo cha mgogoro na kwa nini mkandarasi afukuzwe? Jengo limejengwa chini ya kiwango wenye macho wameona na kusema. Mkandarasi kaambiwa akimbie ili afunike kombe mwarabu apite wewe unasema kafukuzwa! Siku jengo litakapoporomoka ndipo utakapokumbuka verbal/written evidence tunazozitoa sasa. Je unajua kuwa hata miundo mbinu ya moto iliyotakiwa kuwekwa katika jengo hilo imehujumiwa?
 
Back
Top Bottom