Perimeter
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 3,149
- 2,000
Kama kichwa kinavosema ila kwa bahati mbaya kabisa sina PICHA ya tangazo langu ila kwa mwenye uhitaji kuna masofa Mawili mazuri na Mapyaaa..Narudia tena na Tena sijaweka picha sababu nina uhakika na nikiuzacho lkn pia ni sababu sina smart phone.
Bei : la watatu = 200,000
la wawili = 160,000
Ni masofa haya mapya sio ya kizamani ni Fashion set,najua mtapata wasi wasi kwasababu hamna uhakika na siku zote hamna muuzaji anaepondea kitu chake ila Nahakikisha kwa yeyote ataekuja kuona akakuta ni mabaya,yamechakaa,yamechoka, NAMPA HELA KUANZIA YA BANDO LAKE ALOTUMIA kusoma hili tangazo mpk ya usafiri alotumia kufata kuona Bidhaaa.
Karibuni..Mawasiliano tukutane INBOX.
LOCATION : DAR/MBEZI MWISHO
Bei : la watatu = 200,000
la wawili = 160,000
Ni masofa haya mapya sio ya kizamani ni Fashion set,najua mtapata wasi wasi kwasababu hamna uhakika na siku zote hamna muuzaji anaepondea kitu chake ila Nahakikisha kwa yeyote ataekuja kuona akakuta ni mabaya,yamechakaa,yamechoka, NAMPA HELA KUANZIA YA BANDO LAKE ALOTUMIA kusoma hili tangazo mpk ya usafiri alotumia kufata kuona Bidhaaa.
Karibuni..Mawasiliano tukutane INBOX.
LOCATION : DAR/MBEZI MWISHO