king suleman
JF-Expert Member
- Jun 28, 2014
- 1,749
- 1,148
Mtoa Mada Agiza Soda Apo Ulipo Nakuja Kulipa Umepest Point Sana Ila Ukifikilia Hzo Soda Zimeajili Watu Zaidi Ya Mil 3 Kwa Tz Hii So Let Say Tfda Wakasema Soda Malufuku We Unazani Wafanyakaz Wa Viwandan Watakula Wapi Madeleva Nao Itakuwaje Je Wasambazaji Unaowaona Kila Siku Kwenye Haya Magari Wanapeleka Kwa Wateja Wadgo Nao Itakuwaje Haya Wenye Maduka Ya Vinywaj Maji Soda Vp Nao We Unazani Tz Itaweza Kuwa Ajir Watu Wote Maana Tunavokunywa Nao Ndo Wanapata Pesa. Ok,, Kila Unavokula Na Kunywa Pray First