Waungwana kila siku tunasema mwanamke ni tabia, ni nyie huwa wakwanza kupinga na kudai mwanamke tako, tabia tutavumikiana, sasa vumilieni tu hamna namna.
uzur wa nyumba chooSikiliza jamaa yangu kuwa kama mwanaume unayejielewa mbona issue hiyo mdogo Sana mnyang'anye hiyo smart phone halaf mnunulie simu ya kawaida na onyesha uko serious aache ujinga ukiona kama bado haeleweki mrudishe kwako akawaambie wazazi wake kuwa Facebook ndo iliyomuoa atabadilika, huo ujinga unashindwaje kumcontrol ubavu wako bwana bila usimpige ndoa nzuri ni ile ambayo kila mmoja anajitahidi kutafuta furaha ya mwenzake sasa yeye kuweka mambo ya ndani mtandaoni unaona like na comment zitamsaidia kutunza ndoa yake ujinga huo
Hahahaaa haya sasa imekula kwake, sisi na flat zetu kutwa kuchekelea tu.![]()
![]()
uzur wa nyumba choo
Daah kazi kweli kweli, pesa ngumu, nyumbani tena ukifika kugumu, binadamu hawana huruma aiseeUnapojua nyumbani kunawaka moto ni pale muda wa kazi umekwisha kila mtu anaharakisha nyumbani wewe unaomba iwe ndiyo saa moja na nusu unaanza kazi. Ikifika stage hiyo ujue aither uchukue bege uondoke au ufukuze.
Anachofanya mkeo kuanika mambo yenu mitandaoni si sahihi. Ila na nyie type za wanaume mnaojidai wastaarabu sana mnakuwaga na gubu la kondoo dume.
Na mara nyingi hua ni hivyo msuluhishi wa ndoa hugeuka na kuanza kumtafuna mke wa aliyeleta shauri kwake.Duu!! sasa sijui tuanzie wapi. Maana tukisema uende kwa washauri, Juzi humu ndani habari imeletwa MSHAURI ANATEMBEA NA MKE WA MSHAURIWA.
Cha msingi, Tulia mweleze kila kiu, na impact ya maamuzi anayochukua ya kutokukusikiliza. Tulia tafakari angalia faida na hasara ya kutokuwa na MKE, Usisahau sala, kama unaamini katika Kufunga FUnga, Ili upate uamuzi wenye nguvu wa Hatma ya maisha yako. Tulia kwanza mkuu, Kufunja ndoa ni rahisi lakin madhara yake ni makubwa kwako na kwa watoto.
Picha haijalishi kama za aibu ama ni za aina gani. Kikubwa na kumsikiliza upande wa pili kama yeye binafsi hataki basi ni la kuheshimu hilo........Kabla hatujaenda mbali...Hizo picha za facebook zilizoku"degrade" ni za aina gani? Za uchi?????
I
Maana haileti picha kuwa picha tu zisababishe mapenzi yaishe.... msisshirikishane kiuchumi nk nk
Pia hebu jikague mpaka mkeo kero anapeleka fb..basi mna tatizo kubwa ....
Pia hamjaoa malaika ...kama madhaifu yako anakuvumiloa kinachokufanya ushindwe kumvumilia ni nini?
Sikiliza jamaa yangu kuwa kama mwanaume unayejielewa mbona issue hiyo mdogo Sana mnyang'anye hiyo smart phone halaf mnunulie simu ya kawaida na onyesha uko serious aache ujinga ukiona kama bado haeleweki mrudishe kwako akawaambie wazazi wake kuwa Facebook ndo iliyomuoa atabadilika, huo ujinga unashindwaje kumcontrol ubavu wako bwana bila usimpige ndoa nzuri ni ile ambayo kila mmoja anajitahidi kutafuta furaha ya mwenzake sasa yeye kuweka mambo ya ndani mtandaoni unaona like na comment zitamsaidia kutunza ndoa yake ujinga huo
KARUMANZIRA ANAKUHUSU,NENDA KAMUONE ILA JICHUNGE MKUU,MAANA HUYO HAKAWII KUJIPIMIA.Kwenye kufunga hapo ni mtihani, maana Mungu siku hizi hata sala ni kama hasikilizi tena, Maovu yamezidi. Na wanaoyafanya na kuyatenda ni sisi