Mphamvu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 10,702
- 3,288
Tupo hapa mlimani city conference centre, kuna fund raising dinner ya udsm. si mtaalamu wa uchumi lakini naona gharama ni kubwa kuliko matarajio. kiingilio kilikuwa laki mbili, ila naona nafasi za bure ni nyingi sana achilia mbali gharama za vinywaji, chakula na ulinzi ambavyo vyote ni executive. more updates to come wakuu!