Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 9,485
- 14,353
Ndugu yangu BOSS acha kuhukumu mtu. Lilsilowezekana kwa watu kwa MUNGU linawezekana na mungu anaweza kubadilisha mwizi, jambazi , malaya , mvuta bangi akawa mtu mwema kabisa. Kwa wakristo tuna mfano mzuri wa MTUME PAULO ambaye alikuwa muuaji na mtu katili lakini neema ya mungu ilipomshukia akawa ndiye mtu aliyetangaza kwa nguvu injili ya bwana YESU
kwenye bluu hapo twende sawa Mungu.
anyway, Snoop Dogg hapo kapotea zaidi ni bora angebaki na maisha yake ya kidunia kuliko kwenda kwenye deen ambayo mpaka leo huyo aliyeianzisha anasubiri judgement kama raia wengine. anyway siku zote Waislamu wamekuwa wajinga wa kutupwa hasa sehemu nilipo hapa kuna siku walikuwa wanaangalia video inayoonyesha masupataa wakiwemo Anelka, Frank Ribbery, Loon, Van Persie na wengine wengi walikuwa wakisilimu jamaa walikuwa wanashangalia mpaka walimwaga biriani chini ya sakafu wakaanza kula...
hivi huwa hawajui kama safari ya kwenda mbinguni ni personal???
kusilimu kwa Snoopy hakubadilishi kitu ktk maisha yako ya wokovu,