mpenda arage
JF-Expert Member
- Nov 10, 2015
- 1,673
- 3,793
Za leo wanajukwaa,
Dunia ni msongamano walishasema wahenga. Na mahusiano pia huchangia dunia yetu kuzunguka. Leo naomba tushirikishane SMS zilizotuletea kasheshe na pengine kuvunja mahusiano yetu.
Kwa upande wangu sikuwahi kukamatwa na SMS za simu ila alifanikiwa kuingia inbobo akakuta nachat na kitoweo changu cha kitambo kikitaka tukipashe kiporo, yaani alikuwa na usongo kuliamsha dude.
Mbaya na mimi nilikuwa nasapoti. Aisee kilichonitokea acha kabisa! Ila nashukuru bado niko nae hadi leo. Na ishu nyingine ilimtikea rafiki yangu alituma SMS kwa mchepuko wake eti " nimemis kukuminya tako!" Akasahau kufuta sent SMS. Kikawaka hatari. Ila bado wanaishi hebu tubadilishane majanga, na namna ya kuyaepuka huku tukiendelea kutoa huduma bila shuruti.
Karibuni wahenga.
Arage Jekundu.
Dunia ni msongamano walishasema wahenga. Na mahusiano pia huchangia dunia yetu kuzunguka. Leo naomba tushirikishane SMS zilizotuletea kasheshe na pengine kuvunja mahusiano yetu.
Kwa upande wangu sikuwahi kukamatwa na SMS za simu ila alifanikiwa kuingia inbobo akakuta nachat na kitoweo changu cha kitambo kikitaka tukipashe kiporo, yaani alikuwa na usongo kuliamsha dude.
Mbaya na mimi nilikuwa nasapoti. Aisee kilichonitokea acha kabisa! Ila nashukuru bado niko nae hadi leo. Na ishu nyingine ilimtikea rafiki yangu alituma SMS kwa mchepuko wake eti " nimemis kukuminya tako!" Akasahau kufuta sent SMS. Kikawaka hatari. Ila bado wanaishi hebu tubadilishane majanga, na namna ya kuyaepuka huku tukiendelea kutoa huduma bila shuruti.
Karibuni wahenga.
Arage Jekundu.