Wizzo
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 723
- 256
Kiapo
Mimi ninaesoma meseji hii bila kushinikizwa wala kulazimishwa na mtu yeyote, kwa akili zangu timamu, na sintakuwa msaliti kwa moyo wangu wote bilaunafiki namuunga mkono EDWARD LOWASA kugombea urais mwaka 2015 na ninaahidi kumpigania kwa nguvu zangu zote maana ndiye mwenye maono ya kweli ya kuwasaidia watanzania maskini na wanyonge...eeh mwenyezi mungu nisaidie
Nakushukuru kwa kula kiapo
Mimi ninaesoma meseji hii bila kushinikizwa wala kulazimishwa na mtu yeyote, kwa akili zangu timamu, na sintakuwa msaliti kwa moyo wangu wote bilaunafiki namuunga mkono EDWARD LOWASA kugombea urais mwaka 2015 na ninaahidi kumpigania kwa nguvu zangu zote maana ndiye mwenye maono ya kweli ya kuwasaidia watanzania maskini na wanyonge...eeh mwenyezi mungu nisaidie
Nakushukuru kwa kula kiapo