Sms ya Lowassa yasambazwa

Sms ya Lowassa yasambazwa

Wizzo

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2010
Posts
723
Reaction score
256
Kiapo
Mimi ninaesoma meseji hii bila kushinikizwa wala kulazimishwa na mtu yeyote, kwa akili zangu timamu, na sintakuwa msaliti kwa moyo wangu wote bilaunafiki namuunga mkono EDWARD LOWASA kugombea urais mwaka 2015 na ninaahidi kumpigania kwa nguvu zangu zote maana ndiye mwenye maono ya kweli ya kuwasaidia watanzania maskini na wanyonge...eeh mwenyezi mungu nisaidie
Nakushukuru kwa kula kiapo
 
hahahahahahaahah mkuu nitake radhi.
kiukweli umeyabaka mawazo yangu maana nimegundua kwamba nimekula kiapo bila kujua.
 
Kiapo
Mimi ninaesoma meseji hii bila kushinikizwa wala kulazimishwa na mtu yeyote, kwa akili zangu timamu, na sintakuwa msaliti kwa moyo wangu wote bilaunafiki namuunga mkono EDWARD LOWASA kugombea urais mwaka 2015 na ninaahidi kumpigania kwa nguvu zangu zote maana ndiye mwenye maono ya kweli ya kuwasaidia watanzania maskini na wanyonge...eeh mwenyezi mungu nisaidie
Nakushukuru kwa kula kiapo
Kiapo mbele za wanadamu ni dhambi endapo Lowassa atajiinua na kupokea haya ni hatari mbele za Mungu aliyehai.
 
Hiyo sms yenyewe iko wapi?na inahusu nini?
Maana naona unamfagilia tu.
 
Kiapo
Mimi ninaesoma meseji hii bila kushinikizwa wala kulazimishwa na mtu yeyote, kwa akili zangu timamu, na sintakuwa msaliti kwa moyo wangu wote bilaunafiki namuunga mkono EDWARD LOWASA kugombea urais mwaka 2015 na ninaahidi kumpigania kwa nguvu zangu zote maana ndiye mwenye maono ya kweli ya kuwasaidia watanzania maskini na wanyonge...eeh mwenyezi mungu nisaidie
Nakushukuru kwa kula kiapo

Go home your drunk..!!!
 
Hii ni sms inayotumwa kwenye simu,mimi nimetumiwa nkabidi niwaletee na ninyi muone kinachoendelea
 
Mi sijui nani kaiformulate, subili itakufikia tu
 
Naomba unisomee, mimi sijui umeandika nini.
 
Hivi umeshajaribu kufikiri nje ya nia yake? Huoni kuwa akiukosa urais atageuka kama yule makamu wa rais wa sudan kusini na kuanzisha mapambano ya silaha kisha wewe ukawa rebel number one?
Acheni mambo ya kizamani ya kuwawekea watu mawazo yenu yasiyo na maana kwao. Tunahitaji kuwaza wenyewe na sio utuwazie wewe na lowasa wako.
Naamini amechoka kututumikia na kutupa misaada na anahitaji kupumzika. Si ndio EL? Pumzika bwana! Hatuhitaji kuongozwa na mzee!?
 
Kiapo mbele za wanadamu ni dhambi endapo Lowassa atajiinua na kupokea haya ni hatari mbele za Mungu aliyehai.

Mkuu inategemea na umeapa vipi, hata Mungu hapendi mtu aape kwa kuwa ni vigumu sana ku keep promise, kama ynaapa ujue kwamba utatimiza kiapo chako kinyume na hapo unajitafutia dhambi bure...kuapa siyo kosa, kosa ni kushindwa kutimiza kuapo
 
Sms imetungwa na wabaya wa Lowassa il kuzidi kumuharibia
 
Back
Top Bottom