Sms ya Lowassa yasambazwa

Sms ya Lowassa yasambazwa

Kiapo
Mimi ninaesoma meseji hii bila kushinikizwa wala kulazimishwa na mtu yeyote, kwa akili zangu timamu, na sintakuwa msaliti kwa moyo wangu wote bilaunafiki namuunga mkono EDWARD LOWASA kugombea urais mwaka 2015 na ninaahidi kumpigania kwa nguvu zangu zote maana ndiye mwenye maono ya kweli ya kuwasaidia watanzania maskini na wanyonge...eeh mwenyezi mungu nisaidie
Nakushukuru kwa kula kiapo
mwehu we!hebu kua siku moja
 
2015 sio mbali nasubiria kwa hamu CCM watakampotosa Lowasa , halafu tuone sinema za bure kama vile CCM original, CCM kampuni, CCM family, CCM pesa, CCM bomba na nyinginezo, tusubirie muda
 
Kiapo
Mimi ninaesoma meseji hii bila kushinikizwa wala kulazimishwa na mtu yeyote, kwa akili zangu timamu, na sintakuwa msaliti kwa moyo wangu wote bilaunafiki namuunga mkono EDWARD LOWASA kugombea urais mwaka 2015 na ninaahidi kumpigania kwa nguvu zangu zote maana ndiye mwenye maono ya kweli ya kuwasaidia watanzania maskini na wanyonge...eeh mwenyezi mungu nisaidie
Nakushukuru kwa kula kiapo

this is too much hata kama mnamshabikia mjue mnamharibia, mnamnadi kama mshindani wa bongo star search...fikirini vizuri. ..
 
Naomba unisomee, mimi sijui umeandika nini.

Ha haaa tactic nzuri, mleta uzi anakuwekea mtego, unamgeuzia ili umkamate yeye, we jamaa una akili sana.

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom