Mohammed Hamad
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 3,988
- 1,304
nitakumiss sana dear,uwe salama,,gud cheer
Mama wa busara upo? wapi PJ???????????
nitakumiss sana dear,uwe salama,,gud cheer
Daaa MS mi mniacha goigi unajua, sasa hiyo ndo lugha gani kichina au??
Mama wa busara upo? wapi PJ???????????
chikulonga viswanu baadae ukuhulika??/
Shikamooni wakubwa.
Marahaba Dena.
Marhabaaa afadhali umetokea ndugu asprin maana kichwa kinaniuma na haya mambo ya UDSM na DOWANS fanya mambo basi mkuu.......
Ha ha ha Babu apenda chikamoo wewe??
Haya chikamoo Babu Achipirini??
Hivi uliniaga unaenda wapi vile....natalka nikuagize ugoro na mkongojo.
Marahaba kwa shkang ya kizushi hiyo. Hivi mmeo huwa wamsalimu shkamoo?
Shikamooni wakubwa.
Marahaba Dena.
Ha ha ha wewe acha hizo bwana. Kwenye bluu ni JKNIA
Marahaba Asprin hujambo mtoto mzuri, umeshakunywa maziwa?
Kama JKNIA nina wasiwasi maana umesema unakoenda hakuna network usitupige changa la macho ukasema una safiri kumbe unaenda kufungiwa sehemu mpaka weekend iishe lol kwenye blue umepaelezea kwenye nyekundu mbona umepachunia au hapana umuhimu?