Kaizer man, mi nilivyomuelewa DA ni kwamba ana-stop kwa muda kutumia JF na wala sio kwamba anasafiri lol:roll:
CPU wewe shauri yako
Nitawamiss tena for ten days.
Miombee huko nakokwenda.
Cheers Love you All Dear Brothers and Sisters.
Lovely
DA
Ha ha ha umenichekesha kweli wewe haya bana
Babu mambo mengine si ya kuzungumzia hapa bana
Mimi na wewe tu, ndo maana nimesema babu anakusubiri umnong'oneze. Huwezi kuondoka bila kumwekea nadhiri kwamba utarudi ukiwa intact....bila kuchakachuliwa hata kwa maneno au kukonyezwa!!