Smartphones, Ipads, Smartwatches, Tablets & Laptops, Projectors

Smartphones, Ipads, Smartwatches, Tablets & Laptops, Projectors

Naomba kujua bei za
Samsung galaxy s4
Samsung galaxy on7 pro - 391000
Htc m8
S4 nauza 350k, Htc M8 nauza 500k, hiyo nyingne sijaielewa kiongozi. Au nichek kwenye namba 0654776976 kwa maelezo zaid
 
Dah, yaani km mimi ndio sijuagi aina ya simu, mpaka niione ndio najua kumbe ndio aina husika au nivutiwe na muonekano niulize niambiwe ndio aina fulani !
Ooh ...bas nichek kwenye namba hii 0654776976, itakuwa vizuri zaid ukinichek whatsapp..ili nikueleweshe vizuri, na upate na plicha
 
Zinapendeza, ila naomba kujua hiyo Huawei uliyoshika ndio ipi na bei gani
Sijaelewa huawei ipi mkuu,
Hii huawei Mate s?
1475135804267.jpg

Au hii P8
1475135848761.jpg

Au hii p8 light?
1475135912218.jpg

Au hii P9
1475135964069.jpg
 

Attachments

  • 1475135789003.jpg
    1475135789003.jpg
    42.8 KB · Views: 64
mkuu mbona hujatuwekea bei za laptop??
Hah hah usijali mkuu, km unahitaji nichek kwenye namba hii...0654776976, utapata info zaid kwa mzigo wowote unaohitaji
 
Habari Wakuu, mzigo mpyaa umeingia. Pia Aksanteni sana wateja wangu hasa wa mikoani ambao tupo pamoja mpaka sasa, na mnaonisapoti Vunja Bei kwa kununua bidhaa zangu za smartphones na zaid kwa kuniunganisha na wateja wengine, nawashukuru saana....tupo pamoja! Pia ile offer ya glass protector imerudi tena, kwa wateja wangu wote watakaonunua cm kwangu msimu huu watajipatia glass protector au cover au vyote kwa pamoja bure kabsa.

Karibuni saana ndugu.
 
Jamani Mimi naomba kuuliza kwani c9 huwa inashida gani kwenye internet yangu inazingua sn, wajuzi nielewesheni.samahani lakn Kwa kuingilia uzi
 
broo naomba kuuliza, complete screen ya HTC One Vx naweza nikaipata dukani kwako? na kama ipo ni bei gani?


simu yenyewe ni hii hapa....
htc.JPG
 
Back
Top Bottom