Smartphones, Ipads, Smartwatches, Tablets & Laptops, Projectors

Smartphones, Ipads, Smartwatches, Tablets & Laptops, Projectors

Jamani Mimi naomba kuuliza kwani c9 huwa inashida gani kwenye internet yangu inazingua sn, wajuzi nielewesheni.samahani lakn Kwa kuingilia uzi
Mkuuu tecno hawaaminik...ila kikubwa angalia setting yako ya Internet..pale kwenye kwe Internet Access point (APN). Km utahitaji msaada zaid usisite kunichek, ni msaada bure, 0654776976..
 
Angalizo sijanunua Kwa huyu muuzaji jamn.
Good...maana waungwana hawachelewi kusema nimeanza uza vimeo...hah hah hah, sema sasa ndio ujifunze siku nyingne epukana na huo usumbufu..nitafute mapema kabla ya kununua simu hata upate ushauri tu.
 
Dah, yaani km mimi ndio sijuagi aina ya simu, mpaka niione ndio najua kumbe ndio aina husika au nivutiwe na muonekano niulize niambiwe ndio aina fulani !
hahahaha,aisee nimecheka mkuu ile mbaya
Sio wewe tu,hata mie,tupo wengi sana,Ulimwengu wa simu umetupita.
Ungekuwa mtu wa madem ungeziju tu mkuu,maana madem wanazijua kulio sie wanaume.Maana wanashinda kwa ubora na bei ya sim.
Au ungekuwa muuza sura basi ungezijua saana,maana sim inauza siku hizi
 
Natafuta laptop Lenovo yoga 900 au lenovo X1 carbon 4th generation
 
Mkuu naomba kujua kama una LG GFlex D958 black

kama ipo nijuze na bei yake nikuibukie
LG G Flex (side by side).jpg
 
L G Flex zipo mkuu.. sema hiyo model utakayo D958 ya China ndio sina, zipo F340 ambazo ni model ya Korea, bei ni 500k
mkuu ni mpya? next week ntakuja Dar na ntakutafuta, kama vipi ni PM namba yako
 
Mkuu nashukuru saana mzigo wa simu ulonitumia nimeupata. Nakushauri uendelee kuwa mwaminifu hivyo hivyo maana ndio mtaji. asante
 
Back
Top Bottom