Vieloon
JF-Expert Member
- May 5, 2012
- 1,520
- 695
- Thread starter
- #21
Mkuu huyu mtu hasaidii anafanya biashara.
Labda ww umemuelewa vibaya.
Huyu nimfanya biashara kama unataka kusaidiwa tafuta njia nyingine yakupata msaada wa bidhaa anazo uza hyu jamaa.
Labda kwa ushauri nenda ktk nyumba ya ibada ya imani yako uwombe wakuchangie pesa uje ununue bidhaa unayo taka.
Labda nikuulize ww unata nini ktk hizi bidhaa alizo tutangazia nione kama mm naweza kukusaidia?
