Smartphone ipi nzuri ?

Smartphone ipi nzuri ?

Jaguar

JF-Expert Member
Joined
Mar 6, 2011
Posts
3,440
Reaction score
1,029
Nina shilingi laki sita tu, naombeni ushauri ninunue simu ipi nzuri kwa bajeti yangu?
 
nunua galaxy s3 (mint condition), galaxy grand(mpya), galaxy nexus

ila narecomend galaxy s3.

sababu ni kwamba ina uhakika wa kupata android 4.3 na kitkat pia itapata hivyo hutakua bored na simu yako
 
nunua galaxy s3 (mint condition), galaxy grand(mpya), galaxy nexus

ila narecomend galaxy s3.

sababu ni kwamba ina uhakika wa kupata android 4.3 na kitkat pia itapata hivyo hutakua bored na simu yako
Akhsante chief but hii S3 kioo chake vipi?ikiwa na corning gorilla glass itakuwa magoli zaidi,ngoja nijaribu ku-google.
 
HTC 600 DESIRE

Android ikiwa na 4.1.
haitakupa tabu ya memory full

Samsung pia iko poa sana.
 
nunua tecno f7 hutojutia pesa yako,achana na simu za gharama za galaxy.hakuna cha maana ilicho nacho ghalaxy
 
Akhsante chief but hii S3 kioo chake vipi?ikiwa na corning gorilla glass itakuwa magoli zaidi,ngoja nijaribu ku-google.

Hii ni flagship ya samsung mwaka jana premium feature zote zipo. kioo chake ni gorilla glass 2 sio ile ya zamani. pia ni amoled na ni hd
 
hii ni flagship ya samsung mwaka jana premium feature zote zipo. kioo chake ni gorilla glass 2 sio ile ya zamani. pia ni amoled na ni hd
Poa mkuu,nitaufanyia kazi ushauri wako!
 
Techno M3
Kwa umasikini wa kitanzania inafaa kwenda sawa na maGalaxy

Hii ni ingizo jipya baada ya Techno F7
Screen ndogo lakini inapiga mzigo haswaa..@less than 2 kiloz
 
Techno M3
Kwa umasikini wa kitanzania inafaa kwenda sawa na maGalaxy

Hii ni ingizo jipya baada ya Techno F7
Screen ndogo lakini inapiga mzigo haswaa..@less than 2 kiloz

mwezi wa 10 galaxy s3 inapata android 4.3 tecno hazitapata update hii bali itatoka tecno mpya yenye android 4.3 so mimi nna simu ile ile napata soft mpya wewe inabidi uchange simu ili upate soft mpya.

same case mwezi wa 11/12 nitapata kitkat android 4.4 kwenye gs3 hakuna tecno hata 1 itayopata update bali itatoka tecno mpya yenye 4.4 itabidi u upgrade kwa kununua simu mpya.

mwisho wa siku nani imekula kwake?
 
Techno M3
Kwa umasikini wa kitanzania inafaa kwenda sawa na maGalaxy

Hii ni ingizo jipya baada ya Techno F7
Screen ndogo lakini inapiga mzigo haswaa..@less than 2 kiloz

Hii simu tatizo lake chaji
 
nunua tecno f7 hutojutia pesa yako,achana na simu za gharama za galaxy.hakuna cha maana ilicho nacho ghalaxy

f7 laki 4.5 hadi 5 hii sio gharama? wakati kwa hela hio hio unapata galaxy yenye specs kubwa kushinda hio tecno.

wabongo sjui mtazinduka lini
 
Nunua valuable brand I phone 4s laki sita mpya unapata nipm nikupe
 
Akhsante chief but hii S3 kioo chake vipi?ikiwa na corning gorilla glass itakuwa magoli zaidi,ngoja nijaribu ku-google.

kioo kizuri ni corning gorilla 3 ambayo no scratches wala haibakish finger prints wakati wa ktoa lock au kuchora pattern so embu chek huawei ascend p2 hopely itakufaa or ascend mate
 
nunua tecno f7 hutojutia pesa yako,achana na simu za gharama za galaxy.hakuna cha maana ilicho nacho ghalaxy

Umetoa ushauri mzuri hasa.. Lakini itategemea na yeye mwenyewe.Kama anahitaji kitu bora,Tecno na LG ndio mpango.. lakini kama unapenda simu sifa Brand,jipasue na Samsung...Manake kuna wengine wanapenda waonekane wana Samsung...
Niko na Tecn yangu hapa ,aka! Sipitwi na jambo...
 
Yaani wakati we we unakomaa kuupdate Mimi na laki yangu nanunua kitu kioya. . kwako laki 7 zimetuama mile zinazunguka
 
Back
Top Bottom