Smartphone ipi nzuri ?

Smartphone ipi nzuri ?

mi natumia tecno P3 iko poa ila hizi tecno sio ya kukaa nayo sana
 
unapata s3 mpya kwa 650,000. bora uongeze hamsini uchukue kifaa kipya.

DUKA HILI HAPA - WIRELESS CONCEPT ON MOSQUE ST
BETWEEN LIBYA AND JAMHURI ST
 
Tecno F7 A+ aisee sijutii kwa laki 4 tu.hao Samsung galax s3 mbwembwe za jina tu mambo yale Yale tu tofauti spec za memory card
 
Chukua nexus 5..best android phone..hutojutia
 
Samahani kwa kuingilia uzi, naomba uliza. Mi nataka chukua iphone s4, kwa aliyewahi itumia je iko poa na ina kasoro gani?
 
Nunua valuable brand I phone 4s laki sita mpya unapata nipm nikupe
Mwenzenu kassema ana laki tatu sasa nyie mnamweleza vya mara milioni na ushee mara laki sita......
 
kijana, nunua Huawei Ascend G610 au 620 au G series za 7** aisee hutakuja jutia kamwe.

Mfano hii Ascend G610 ina 5", qHD, 1GB ram, 4GB internal, memory card support, 5MP kwa 0.3MP selfie cam, battery kubwa 2250mAh, hutajuta
 
Back
Top Bottom